Ni proffessor, Dr, au msomi yupi wa kiTanzania, ambaye .....
1. Ana Patent ya ugunduzi wowote ule, uwe wa kisayansi, au nyanja nyingine yeyote. Tafadhali taja na aina ya ugunduzi.
2.Ameweze ku commercialize utafiti wake na kuanzia biashara kubwa kutokana na utafiti/ugunduzi huo.
3. Amebadilisha maisha ya watu in a good way (Positive impact) duniani au hata Tanzania kutokana na utafiti wake.
Maswali haya ni muhimu ili kujua mchango wa wasomi wetu katika kujenga uchumi wa nchi yetu.
1. Ana Patent ya ugunduzi wowote ule, uwe wa kisayansi, au nyanja nyingine yeyote. Tafadhali taja na aina ya ugunduzi.
2.Ameweze ku commercialize utafiti wake na kuanzia biashara kubwa kutokana na utafiti/ugunduzi huo.
3. Amebadilisha maisha ya watu in a good way (Positive impact) duniani au hata Tanzania kutokana na utafiti wake.
Maswali haya ni muhimu ili kujua mchango wa wasomi wetu katika kujenga uchumi wa nchi yetu.