Ni raha sana

Ni raha sana

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Ujue mtu ukiendekeza sana maisha ya kazi unaweza ukachizika japo ndo maisha yanayotuweka mjini hapa.

Kwa jinsi nilvyochoka na haya maisha jana nilihisi hiki kichwa kama sio changu nilihisi kama nimepandikizwa kichwa.

Nilivyorudi nyumbani nikaweka flight mode nikalala. Nikasema potelea mbali liwalo na liwe.

Raha niliyohisi wakati nipo usingizini haielezeki. Nyie usingizi mtam usingizi una raha kama hakuna zile simu na meseji za kazi zinazopigwa wakati umelala. Nimegundua hapa duniani hakuna kitu kinaleta raha halisi kama usingizi.

Kuanzia sasa sitokuwa napatikana kuanzia saa mbili usiku mpaka asubuhi. Simu za kazi zipigwe muda wa kazi tusisumbuane na tusinyimane uhuru maisha ndo haya haya!!
 
Na huo ndo ukweli. Wenzetu wa ughaibuni huko wanafanya kazi kwa masaa. Muda wa kupumzika wanapumzika kweli kweli! Sisi huku ndo maroboti a.k.a Mabundi
 
Na huo ndo ukweli. Wenzetu wa ughaibuni huko wanafanya kazi kwa masaa. Muda wa kupumzika wanapumzika kweli kweli! Sisi huku ndo maroboti a.k.a Mabundi
Watanzania hatuna kabisa muda wa kazi mtu anakupigia simu saa tano usiku!
 
Ujue mtu ukiendekeza sana maisha ya kazi unaweza ukachizika japo ndo maisha yanayotuweka mjini hapa.

Kwa jinsi nilvyochoka na haya maisha jana nilihisi hiki kichwa kama sio changu nilihisi kama nimepandikizwa kichwa.

Nilivyorudi nyumbani nikaweka flight mode nikalala. Nikasema potelea mbali liwalo na liwe.

Raha niliyohisi wakati nipo usingizini haielezeki. Nyie usingizi mtam usingizi una raha kama hakuna zile simu na meseji za kazi zinazopigwa wakati umelala. Nimegundua hapa duniani hakuna kitu kinaleta raha halisi kama usingizi.

Kuanzia sasa sitokuwa napatikana kuanzia saa mbili usiku mpaka asubuhi. Simu za kazi zipigwe muda wa kazi tusisumbuane na tusinyimane uhuru maisha ndo haya haya!!
Kabisa
 
Ujue mtu ukiendekeza sana maisha ya kazi unaweza ukachizika japo ndo maisha yanayotuweka mjini hapa.

Kwa jinsi nilvyochoka na haya maisha jana nilihisi hiki kichwa kama sio changu nilihisi kama nimepandikizwa kichwa.

Nilivyorudi nyumbani nikaweka flight mode nikalala. Nikasema potelea mbali liwalo na liwe.

Raha niliyohisi wakati nipo usingizini haielezeki. Nyie usingizi mtam usingizi una raha kama hakuna zile simu na meseji za kazi zinazopigwa wakati umelala. Nimegundua hapa duniani hakuna kitu kinaleta raha halisi kama usingizi.

Kuanzia sasa sitokuwa napatikana kuanzia saa mbili usiku mpaka asubuhi. Simu za kazi zipigwe muda wa kazi tusisumbuane na tusinyimane uhuru maisha ndo haya haya!!
Ni mtamu kama kuna shekel, ngawila, mbongo,pesa katika akaunti,usingizi utqkuja vipi na haujuhi Kodi ya kesho itatoka wapi?
Mi kwangu huwa na relax nikiwa nimeishaweka mitego na pesa, inakamatika miezi, kadhaa, ijayo
 
Back
Top Bottom