Ni rahisi kutengenezea raia hasira dhidi ya Rais wao

Ni rahisi kutengenezea raia hasira dhidi ya Rais wao

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Baada ya ahadi ya nyongeza ya mshahara kupitia vyombo vyote vya habari nchini Kuna mengi yanasemwa na ikizingatiwa kuwa hakuna chanzo sahihi cha taarifa.

Inapofikia michakato inatendeka kimyakimya na wengi wao wakitarajia jipya kwenye pay tarehe ya pay July 2023 kunasababisha hasira na kinyongo cha Mwananchi mtumishi wa umma kwa kiongozi mwenye dhamana.

Chuki na mawazo mabaya hujengeka na kukosa Imani tena n kiongoz mkuu hasta Kwa sabab inaonekana anadanganywa na watendaji waliokarib yake wao wakila mkate na marupurupi mengi.

Kwamba eti kila mtu anatarehe yake ya increment vipi lisiwe jambo la wazi watumishi wakaelewa. Divide and rule hizi hupelekea migogoro isiyolazima.

HRs katika taasisi nyingi za umma hutumika kama wasemaji wakuu na inafikia hatua hawaw wawazi na wabunifu. Hizi naziona kama uchonganishi kati ya Rais na watu. Kuna watu wao kwa kuwa wanapata wanachokitaka hujiwa na saiti ya kutokujali watu wengine.

Ni wazi kabisa hapo kuna kasoro na imenyamaziwa
 
Na wewe unaamini hayo maneno.
Hakuna hata mtumishi mmoja, aliyepata hiyo nyongeza.

Endelea kusubiri "ufafanuzi" kichwa cha mwendawazimu wewe!!
 
Poleni sana watumishi wa umma,mnanyanyasika sana na mwajiri, furaha ya maisha kwa watumishi ni ndogo sana, mazingira ya kazi ni magumu sana, tofauti ya mtumwa na mtumishi wa serikali ni ndogo sana na huwenda hamna tofauti.
 
Baada ya ahadi ya nyongeza ya mshahara kupitia vyombo vyote vya habari nchini Kuna mengi yanasemwa na ikizingatiwa kuwa hakuna chanzo sahihi cha taarifa.

Inapofikia michakato inatendeka kimyakimya na wengi wao wakitarajia jipya kwenye pay tarehe ya pay July 2023 kunasababisha hasira na kinyongo cha Mwananchi mtumishi wa umma kwa kiongozi mwenye dhamana.

Chuki na mawazo mabaya hujengeka na kukosa Imani tena n kiongoz mkuu hasta Kwa sabab inaonekana anadanganywa na watendaji waliokarib yake wao wakila mkate na marupurupi mengi.

Kwamba eti kila mtu anatarehe yake ya increment vipi lisiwe jambo la wazi watumishi wakaelewa. Divide and rule hizi hupelekea migogoro isiyolazima.

HRs katika taasisi nyingi za umma hutumika kama wasemaji wakuu na inafikia hatua hawaw wawazi na wabunifu. Hizi naziona kama uchonganishi kati ya Rais na watu. Kuna watu wao kwa kuwa wanapata wanachokitaka hujiwa na saiti ya kutokujali watu wengine.

Ni wazi kabisa hapo kuna kasoro na imenyamaziwa
Mimi siwezi kuwa mpumbavu wa kupotoshwa na wasaka vyeo vya Kisiasa
 
Kama Mh Rais ameongea hakuna utekelezaji. Sio dharau ni mini. Yaan amedharauliwa mkuu wa nchi na serikali na watu wake. Hawa jamaa hv hawajui pesa anayopewa mtumishi inskwenda kwa mkulima, muuza duka nk?
Na huyo aliyedharauliwa utaona anakaa kimya kabisa kama hakuna kilichotokea ndipo utagundua kuwa hii nchi hatupo serious.
 
Mwaka jana asilimia 23% watu wakakuta imeongezeka 7000. Mwaka huu bado haijulikani

Mishahara ya mwezi July nyongeza ni zero (0) afadhali hata iyo nyongeza ya mwaka jana ya 7,000. Mwaka huu 23/24 imetoka kapa, sasa hivi wao wako kwenye neema za DP World [emoji289] tu ukumbukwe wewe kapuku usie mvaa kanzu kwa kipi?
 
Kama Mh Rais ameongea hakuna utekelezaji. Sio dharau ni mini. Yaan amedharauliwa mkuu wa nchi na serikali na watu wake. Hawa jamaa hv hawajui pesa anayopewa mtumishi inskwenda kwa mkulima, muuza duka nk?
Kwahiyo HRs waongeze bila kupewa waraka mpya wa mishahara?
 
Back
Top Bottom