mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Kila nikijaribu kupiga hesabu zinakataa.
Wenye kujua mtuambie inawezekana vipi Simba ikatinga hatua inafuata huko Cafcl?
Maana nawaona wakimaliza nafasi waliyopo(3) hivyo wao pamoja na vibonde wenzio vipers watafungasha virago na kurudi nyumbani.
Msimamo utabaki hivi hivi paka mwisho wa makundi.
Wenye kujua mtuambie inawezekana vipi Simba ikatinga hatua inafuata huko Cafcl?
Maana nawaona wakimaliza nafasi waliyopo(3) hivyo wao pamoja na vibonde wenzio vipers watafungasha virago na kurudi nyumbani.
Msimamo utabaki hivi hivi paka mwisho wa makundi.