Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko Yanga kuwa bingwa

Ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko Yanga kuwa bingwa

Kocha wa Yanga jana akihojiwa alisema anapambania nafasi ya pili dhidi ya Azam ,na kakiri kwamba simba watachukua ubingwa
Mpaka sasa mechi zilizochezwa*
1. Simba mechi 21
2. Azam mechi 21
3. Yanga mechi 19

B Mechi Walizobakisha*
1. Simba mechi 17
2. Azam mechi 17
3. Yanga mechu 19 .
.
C* wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itaongeza points 51
2. Azam itaongeza points 51
3. Yanga itaongeza points 57.
.
.
D Wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itafikisha points 104
2. Azam itafikisha points 95
3. Yanga itafikisha points 95 .
.
E. Ili Simba awe bingwa anatakiwa kushinda mechi 14 kati ya 17 alizobakiwa nazo* .
.
F* Ili Azam awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 17 na simba walau afungwe 3 na atoe droo 1 .
.
G. Ili Yanga awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 19 zilizobaki, azam afungwe walau mchezo mmoja, simba afungwe walau mechi 3 na kutoa droo mechi 1.* .
.
H. Ikitokea Simba wakafungwa mechi 3, Yanga akashinda mechi zake zote 19 na Azam akashinda mechi zake zote 17 wote watatu watakuwa na point 95. Lakini Simba atakuwa na faida ya goal difference. Hivyo atakuwa bingwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kwa sababu mpira wa bongo mshindi hua ana julikana kma CCM lkn kwa football ya duniani bado kati ya hizo team tatu zina nafasi ya ubingwa
Mpaka sasa mechi zilizochezwa*
1. Simba mechi 21
2. Azam mechi 21
3. Yanga mechi 19

B Mechi Walizobakisha*
1. Simba mechi 17
2. Azam mechi 17
3. Yanga mechu 19 .
.
C* wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itaongeza points 51
2. Azam itaongeza points 51
3. Yanga itaongeza points 57.
.
.
D Wakishinda mechi zote zilizobaki*
1. Simba itafikisha points 104
2. Azam itafikisha points 95
3. Yanga itafikisha points 95 .
.
E. Ili Simba awe bingwa anatakiwa kushinda mechi 14 kati ya 17 alizobakiwa nazo* .
.
F* Ili Azam awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 17 na simba walau afungwe 3 na atoe droo 1 .
.
G. Ili Yanga awe bingwa inatakiwa ashinde mechi zote 19 zilizobaki, azam afungwe walau mchezo mmoja, simba afungwe walau mechi 3 na kutoa droo mechi 1.* .
.
H. Ikitokea Simba wakafungwa mechi 3, Yanga akashinda mechi zake zote 19 na Azam akashinda mechi zake zote 17 wote watatu watakuwa na point 95. Lakini Simba atakuwa na faida ya goal difference. Hivyo atakuwa bingwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe waache...yatawakuta muda siyo mrefu Kama ya Man City.,watu wanakusanya data tu kwa Sasa kuhusu rushwa na uhongaji wa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani...Kuna timu inaweza ikashushwa daraja...ni rahisi Sana kudukua simu...yaani game inakaribia kuchezwa baadhi ya watu wanaojiita wa watu wa mpira wa klabu Fulani muda mwingi wanahangaika kutafuta simu za wachezaji au kocha wa timu fulani. What for?!? Ni rahisi kabisa kutambua game iliyonunuliwa...mashabiki wanaaminishwa timu ni Bora kumbe ni ubora wa kununua game....Miaka michache tu iliyopita Juventus iliwahi kushushwa daraja kwa kuendekeza ujinga Kama huu.
Mtasema simba inahonga marefa inaendelea kujiimarisha ninyi shindeni mechi zetu ndugu hakuna siri nyingine hapo .Huyo Juve unayemsemea kachukua SERIE A KACHUKUA MARA NYINGI MFULULIZO MBONA HUSEMI KANUNUA MECHI?
 
Bora wakusanye maana kama mambo yenyewe ndio kama yale ya pale ushirika moshi yanatisha.
Wewe waache...yatawakuta muda siyo mrefu Kama ya Man City.,watu wanakusanya data tu kwa Sasa kuhusu rushwa na uhongaji wa waamuzi na wachezaji wa timu pinzani...Kuna timu inaweza ikashushwa daraja...ni rahisi Sana kudukua simu...yaani game inakaribia kuchezwa baadhi ya watu wanaojiita wa watu wa mpira wa klabu Fulani muda mwingi wanahangaika kutafuta simu za wachezaji au kocha wa timu fulani. What for?!? Ni rahisi kabisa kutambua game iliyonunuliwa...mashabiki wanaaminishwa timu ni Bora kumbe ni ubora wa kununua game....Miaka michache tu iliyopita Juventus iliwahi kushushwa daraja kwa kuendekeza ujinga Kama huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna rushwa mpya imeanza..Mtibwa vs Simba yule striker hatari wa Mtibwa ikasemekana ameenda trial nje ..nchi aliyoenda haikutajwa...jana na Lipuli Nonga nae inadaiwa kaenda trial nje ...
Inayotisha sana Rushwa ni ile ya ushirika Moshi na ya Lipili pale Taifa.
Sijui hata kizazi kinachokuja tutakiambia sababu zip kwamba yali hayakua magoli, moja ilikua freekick nyingine ilikua kona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom