Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #41
bodaboda wa mbarali mnamwaga slang, ngeli na ung'eng'e wa kiujuzi sana dah 🤣Enheeee... Sawa kabisa. Aksante.
SEHEMU ya dunia itafuatilia.
Preponderant majority of world population HATUTAFUATILIA. Itakuwa saa 9 usiku, wengi Afrika tutakuwa tumelala. We got shit to do next morning!
Na hatuyajui, na hatuyaelewi kata kata mambo ya siasa za Marekani. Wao sio mhimili wa dunia inapozungukia. Mambo anayoyakataa Putin na Kim Jong Un na Mu-Iran.
The average Mama Ntilie in Mbarari Stendi worrying about price of sugar and rice commodities doesn'f give rat's ass about mdahalo wa Joe Biden.... We have no media access to that stuff, and it has no relevance to us anyhow! We couldn't care less! I am sorry! Hahahaaaaaaaaa...
huku mkipewa nguvu na backup ya Putin, Kim na Mu-Iran kwamba hamfuatilii mdahalo wala issues za US, kumbe mnahadaa ulimwengu ili mvuruge uchaguzi na wakati huo kipaumbele na kitisho chenu kikubwa ni Marekani 🐒
hata hivyo,
as we speak,
sugar available and price are very stable, and are declining slowly.
Productions are underway within our internal sugar industries and importations are also continue as per contracts and time frame given to specific permitted sugar importers 🐒
so,
hiyo si shida tena ya kubabaika nayo 🐒