Kwahiyo bando umemnunulia wewe, sio?Timu unayo, ajira hauna, pesa hauna, unanuka ufukara Ila una Muda wa kuiwaza timu yako eti una timu..una timu wewe? Gsm na hersi ndio wenye timu, wao ndio.wanaifaidi kwa kupata mipesa. Pole Sana dogo.
si ungeenda jukwaa la uchumi huko kwa matajiri wenzakoTimu unayo, ajira hauna, pesa hauna, unanuka ufukara Ila una Muda wa kuiwaza timu yako eti una timu..una timu wewe? Gsm na hersi ndio wenye timu, wao ndio.wanaifaidi kwa kupata mipesa. Pole Sana dogo.
Mbumbumbu akidhihirisha umbumbumbu wakeTimu unayo, ajira hauna, pesa hauna, unanuka ufukara Ila una Muda wa kuiwaza timu yako eti una timu..una timu wewe? Gsm na hersi ndio wenye timu, wao ndio.wanaifaidi kwa kupata mipesa. Pole Sana dogo.
Yanga alishinda kwa mkapa,game ya pili atapangiwa kucheza mchana wa RamadanMuda mzuri, na ratiba ni nzuri sana Insha’Allah tukutane kwa Mkapa tuipe support team yetu Yanga.