Kampuni kubwa kama hiyo hadi wanaamua kuweka kiwanda chao sehemu,basi wameangalia vitu vingi sana kama,uhakika wa umeme,maswala ya kodi, sera nzuri za kibiashara na mengine mengi.Kwanini hawakukijenga Tz badi kama ndio soko walilolilenga?
Walikuja kutaka kuwekeza hapa kwanza kabla ya Kenya kupitia mwamvuli wa SADC, hatukuelewana nao maswala mbalimbali ndio wakachomokea huko.Kwanini hawakukijenga Tz badi kama ndio soko walilolilenga?
Na kutafuta kaburi la faru John.Hongera majirani... Sisi tuna kazania hivi vya kufyatua watoto na matofali kwanza.
Kwahiyo tunakubaliana kwamba inchi hii haina sera rafiki kwa uwekezaji?Walikuja kutaka kuwekeza hapa kwanza kabla ya Kenya kupitia mwamvuli wa SADC, hatukuelewana nao maswala mbalimbali ndio wakachomokea huko.
Kwa upande wangu mimi sikubaliani na kwamba hatuna sera nzuri ya uwekezaji. Sera ya zamani ya tax holiday imetufikisha tulipo hapa, haifai gia lazima zibadilishwe angani. Mtu aliye kuja kukusaidia kujenga nyumba mwisho wa siku anakuambia nipe watoto wako wote na nguo zako, huyo sio mtu wa kukusaidia amekuja kujitajirisha tuu.Kwahiyo tunakubaliana kwamba inchi hii haina sera rafiki kwa uwekezaji?
Binafsi sitaki kuamini kwamba swala la tax holiday kama ndio kigezo kikuu kilichopelekea kushindikana kwa maelewano baina ya serikali ya Tanzania na kampuni ya VW.Kiufupi watu tuliowapatia dhamana licha ya kujinasibu na dira ya kutupeleka katika uchumi wa viwanda, wameshindwa kutuonyesha kwa uhalisia ni jinsi gani tutafika huko pasipo kuwa na sera na mbinu stahiki zitakazoweza kuchochea ujio wa wawekezaji kutoka nje kuleta mitaji yao hapa kwetu na sio kwa inchi jirani tunazo shindana nazo kiuchumi na kimaendeleo.Baada ya sisi kushindwa ilikuwa obvious wakenya wasingemuachia muwekezaji huyu.Pia tusisahau mahusiano ya kibiashara kati ya serikali ya Kenya na VW.Kama rekodi zangu zipo sahihi, Rais Kenyata wakati akiwa waziri wa Fedha chini ya utawala wa Rais Mwai Kibaki, aliwahi kufanya manunuzi ya VW Passat kwa Viongozi wa umma lengo likiwa ni kubana matumizi kwa kuondokana na matumizi ya "mashangingi".Inchi hii tunahitaji viongozi sio tu wenye taaluma, bali wawe pia na weledi na mbinu za kushawishi wawekezaji.Lengo haliwezi kutimia pasipo kuwa na lobbying!Kwa upande wangu mimi sikubaliani na kwamba hatuna sera nzuri ya uwekezaji. Sera ya zamani ya tax holiday imetufikisha tulipo hapa, haifai gia lazima zibadilishwe angani. Mtu aliye kuja kukusaidia kujenga nyumba mwisho wa siku anakuambia nipe watoto wako wote na nguo zako, huyo sio mtu wa kukusaidia amekuja kujitajirisha tuu.
Kwanza kabisa labda niweke bayana kuwa nilipo zungumzia kuhusu tax holiday sikuwa nazungumzia jinsi VW walivyo geuza njia na kugonga mlango wa jirani. Nilikuwa nazungumza jinsi tunakuwa tunajitolea mpaka nafsi zetu kuwapendezesha wawekezaji mwisho wa siku ndio sisi tunabaki masikini na omba omba. Sasa tukija kwenye sera, sera Tanzania zipo, labda sio kali kama wengi tutakavyo penda ziwe, lakini zipo. Ila, hapa kwetu hatunaga utamaduni wa kuzitangaza, utazikuta zipo huko wizarani au kweye idara fulani zinakanata vumbi. Nakumbuka Rais wa China alipokuja Tanzania akasaini mikataba 19, mmoja kati ya mkataba hiyo ilikuwa ni wa kufunguliwa soko huru la kupeleka tumbaku China. Ktk Africa ni Tanzania na Zimbabwe tuu ndio wanamkataba kama huo. Na hakuna nchi duniani inaongoza kuvuta sigara kama China. Lakini huo mkataba uko wapi, upo maofisi unakamata vumpi. Udhahifu unaanza na viongozi tuliowapa dhamana ya kuhoji (wabunge), wao ndio wange weza kuchokonoa yote haya na kutuchambulia sisi makabwela tujuwe kinacho endelea. Ukitegemea serikalini kuja kutuwekea chakuka midomoni na kututafunia, tuta lala na njaa.Binafsi sitaki kuamini kwamba swala la tax holiday kama ndio kigezo kikuu kilichopelekea kushindikana kwa maelewano baina ya serikali ya Tanzania na kampuni ya VW.Kiufupi watu tuliowapatia dhamana licha ya kujinasibu na dira ya kutupeleka katika uchumi wa viwanda, wameshindwa kutuonyesha kwa uhalisia ni jinsi gani tutafika huko pasipo kuwa na sera na mbinu stahiki zitakazoweza kuchochea ujio wa wawekezaji kutoka nje kuleta mitaji yao hapa kwetu na sio kwa inchi jirani tunazo shindana nazo kiuchumi na kimaendeleo.Baada ya sisi kushindwa ilikuwa obvious wakenya wasingemuachia muwekezaji huyu.Pia tusisahau mahusiano ya kibiashara kati ya serikali ya Kenya na VW.Kama rekodi zangu zipo sahihi, Rais Kenyata wakati akiwa waziri wa Fedha chini ya utawala wa Rais Mwai Kibaki, aliwahi kufanya manunuzi ya VW Passat kwa Viongozi wa umma lengo likiwa ni kubana matumizi kwa kuondokana na matumizi ya "mashangingi".Inchi hii tunahitaji viongozi sio tu wenye taaluma, bali wawe pia na weledi na mbinu za kushawishi wawekezaji.Lengo haliwezi kutimia pasipo kuwa na lobbying!
Kenya kuna soko/market threshold ya magari mapya kwa sababu kuna sera, sheria na mipango inayotaka na kuratibu watumishi wa umma na makampuni binafsi kununua magari mapya, siyo mitumba. Hii ni tofauti na Tanzania ambapo watumishi wa umma na makampuni binafsi hununua mitumba badala ya magari mapya. Mikopo ya kununua magari mapya hudhaminiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii (hakuna pato la kujitoa huko). Wafanyakazi (vyama vyao) wa hapa nchini wanapaswa kuacha kudai pato la kujitoa badala yake wadai mifuko ya hifadhi ya jamii iwadhamini kupata manufaa ya mikopo kwa ajili ya matakwa ya maisha bora (mikopo ya nyumba na makazi, magari mapya, elimu na matakwa mengine ya watu wa daraja la kati (middle class people).
Nice oneVery good points mkuu. Yaani wachangiaji wengi wangekuwa kama wewe, tungekuwa mbali sana.
Hao wanaotishia watu wasitoe mawazo yao ndo mijitu ambayo ina roho za kwa nini na isiyopenda kusikia ukweli sasa hapo rais kasemwa wapi uwe unajiheshimu bhn kubwa zima busara hunaAcha kutisha watu hapa hata kama ni mvaa suti nyeusi.. Rubbish.
point hyo mkuu[emoji122] [emoji122]Kuanzisha kiwanda sio issue kubwa,issue hapo ni je Africa mashariki how many people can buy brand new car? Watauza ulaya yaliko mengi? au america? Au japani?Vitz yenyewe mpya m 30,je hizo voks? Ngoja tusubiri tuone,mwanzoni si walisitisha?