Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Una nguvu za kushauri wavulana hongera shangazi😂Ukishampa mimba urudi tena kuomba ushauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una nguvu za kushauri wavulana hongera shangazi😂Ukishampa mimba urudi tena kuomba ushauri.
Mfungulie biashara yake ili akila mtaji ale mtaji wake. La sivyo jiandae kuhesabu empty frames hapo dukani kwako miezi michache ijayo.ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara ?
Wafundisheni vijana yaani kila kitu ni kuomba ushauri hata kama ni kidogo kiasi gani anashindwa kufanya maamuzi...atabanwa na mavi aje kuuliza aende chooni au ajinyeeUna nguvu za kushauri wavulana hongera shangazi😂
Akimtegeshea mimba? Akinogewa akaenda kuharibu nyumba kubwa? Ndo mnaanzaga hv hv end of the day mnajutaHakuna mahali ameandika amemtongoza huyo mdada wa dukani.
Huku mkewe anahangaika na ada za watoto. Men are…Kama hutomuoa, mtafutie kiwanja, umjengee sehemu ya kujistiri huku ukiendelea na mambo mengine
Hongera hujauza mechi..... Jitafunie ila usimpe mimba.nilivaa mpira wangu
Ukiamua kuingia upande huu, hakikisha nyumba kubwa hawalii njaa njaaHuku mkewe anahangaika na ada za watoto. Men are…