Ni sababu gani inatufanya wanaume tushindwe kujizuia kuangalia makalio ya wanawake?

Naskia ....wadada na wanawake nao wanaangalia sana pale chini kama pametuna, watakua wanajpendekeza sana kwako ila kama tabia zako ni flat flat....watakuona normallkk
Kweli mkuu, nilishapata confession moja toka dada mmoja jirani.
 
Sheer illusion.... Life is full of vanity, and foolishly chasing the wind.
 
Mimi huwa nashindwa kujizuia hata kama niko na watu. Naangalia tu. Lakini siyo wote. Wanawake wembamba wasio na mizigo siwaangaliii nawapita kama bajaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…