Ni sababu gani inatufanya wanaume tushindwe kujizuia kuangalia makalio ya wanawake?

Ni sababu gani inatufanya wanaume tushindwe kujizuia kuangalia makalio ya wanawake?

Mimi ni mwanaume....nikiona tu nawaza namna natakavyokuwa namkunja in case nimempata.....so many sex styles come to my mind
 
Mimi huwa nashindwa kujizuia hata kama niko na watu. Naangalia tu. Lakini siyo wote. Wanawake wembamba wasio na mizigo siwaangaliii nawapita kama bajaj
Au wale wanawake wanajifanya Tom boy me saiangaliagi
 
Mzee achana na ile kituu, wenyewe kwa wenyewe tu nao wanaangaliana sembuse sisi
 
872a683eaef14ce16c6ad5eefa5bb206.jpg


Unaacha vipi kulishangaa dude kama hilo[emoji115]
 
Macho ya wanaume ndio mlango mkuu wa tamaa,ndio maana wenzetu wanatumia udhaifu huo kutudaka/kutunasa.
Wenzetu wana wake ni tofauti kwani masikio yao ndio mlango wa tamaa,ndio maana wanapenda kusikiliza sana kuliko kuona.
 
Zigo la kuvunja chaga, ni muhimu kuliangalia
 
Back
Top Bottom