Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini jina libadilishwe kuwa chama cha mapinduziTANU na ASP viliungana vikafanya CCM, hiyo ndo Sababu kubwa
Kwani vipi Kaka, una wasiwasi na Chama kubwa sana TZ kuliko vyote "CCM" kuwa Wanyonge tulipigwa na bado tunaendelea kupigwa na kitu kizito tangu tupate uhuru 1964 [emoji848][emoji16]kwa wanaoelewa sababu zilizopelekea chama cha TANU kugeuzwa kuwa Chama Cha Mapinduzi anijuze tafadhari maana mimi kama mimi sioni haja ya TANU kuwa chama cha mapinduzi
Ni jina lililotokana na majukumu ya TANU na ASP ni kama UKAWA ambao lilitokana na NCCR,CUF na CHADEMA.Kwa nini jina libadilishwe kuwa chama cha mapinduzi
Kama hulijui jambo kunyamaza si ujingaTANU na ASP viliungana vikafanya CCM, hiyo ndo Sababu kubwa
Ni kwamba kabla ya mwaka 1977 Tanzania ilikuwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa.kwa wanaoelewa sababu zilizopelekea chama cha TANU kugeuzwa kuwa Chama Cha Mapinduzi anijuze tafadhari maana mimi kama mimi sioni haja ya TANU kuwa chama cha mapinduzi
Bangi ya Malawi si nzuri kuvuta kabla ya kula chakula.Pia
Ni kama Inavyo tazamiwa
Ccm na CHADEMA zitakufa...
Wewe unajuwa lipi? Tanganyika na Zanzibar vilizaa Tanzania, vivyo hivyo Tanu na ASP ndio vimezaa CCM.Kama hulijui jambo kunyamaza si ujinga
Ukisoma sheria ya vyama vya siasa Tanzania hairuhusu chama kuwa cha upande mmoja tu wa Muungano.kwa wanaoelewa sababu zilizopelekea chama cha TANU kugeuzwa kuwa Chama Cha Mapinduzi anijuze tafadhari maana mimi kama mimi sioni haja ya TANU kuwa chama cha mapinduzi
Hata ya CHATO unatishaBangi ya Malawi si nzuri kuvuta kabla ya kula chakula.
Ni hayo tu.
Huyu Mangesuthu Bhuthelezi si ndiye alikuwa puppet wa Makaburu na alichangia sana kupatikana kwa uchaguzi wa wote Afrika ya KusiniUkisoma sheria ya vyama vya siasa Tanzania hairuhusu chama kuwa cha upande mmoja tu wa Muungano.
South Africa wana mpaka vyama vya kikabila cha Inkhata Freedom party kipo Kwazulu Natal cha Chief Mangosuthu Buthelezi, hiki ni chama cha Wazulu pasee.
Kwa nini jina libadilishwe kuwa chama cha mapinduzi
Wazanzibar walishinikiza kwenye chama kipya neno mapinduzi liwepoKwa nini jina libadilishwe kuwa chama cha mapinduzi
Kigezo kilichotumika kuchagua jina CCM nadhani historia niliyojifunza haikuweka bayana.
Kwa mujibu wa mzee mihangwa ndivyo ilivyokua,mzee mihangwa ni 'mbeba makabrasha kipindi hicho'....nadhani umenielewa..niliwahi kusikia kwamba wakati wanatafuta jina la chama kipya Waznz walisisitiza kwamba mapinduzi ya Znz lazima yaenziwe hivyo likapatikana jina la " chama cha mapinduzi. "
..sina uhakika kama taarifa hizo ni za kweli, hivyo nakushauri uzifanyie uhakiki.