Ni sahihi Kabisa Mawaziri kusema Kila Kitu Cha Maendeleo kinafanywa na Rais Samia siyo Wao Kwa sababu Rais ndiye Mamlaka Kuu!

Ni sahihi Kabisa Mawaziri kusema Kila Kitu Cha Maendeleo kinafanywa na Rais Samia siyo Wao Kwa sababu Rais ndiye Mamlaka Kuu!

Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
Kwamba hatujui ni sifa za kichawa? Huu upuuzi ulishaka kasi kwa kiwango cha juu chini ya utawala wa dhalimu magu.
 
Ni uchawa tu na uchumia tumbo hawana lolote
Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
 
Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
Subiri oktoba tutauliza wao wamefanya nini?
 
Kwani wakiisema vizuri Serikali hawajamsema vizuri Rais?, Kwa mtazamo wangu huko ni kujipendekeza kwenye mamlaka kwa ajili ya kuendelea kuwepo hapo walipo,nadhani hivi sasa kuna chombo kinachopima ni nani aliemtaja sana Rais na kumsifia sana ili aendelee kuwemo kwenye Serikali,wengi wao ndio wanaomwangusha kwa kutimiza wajibu wao na kubaki kumsifia kwenye vyombo vya habari
 
Na huo ndio ukweli wenyewe kuwa maendeleo yote unayoyaona hapa Nchini yamefanywa na kuletwa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ndio Maana watu wengi wanasubiri kwa hamu na kiu kubwa sana siku ya uchaguzi ifike ili wammiminie kura za ndio kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima kama sehemu ya kutoa shukurani zao kwa utumishi wake uliotukuka uliogusa Maisha ya wengi
Kodi za wavuja jasho watanzania ndyo maendeleo unayoyaona we masikini wa akili na Mali vinginevyo Bado hiyo Kodi maccm yanaiiba yananeneapa na kuvimbiana mashavu
 
Kwani wakisema maendeleo yanaletwa na serikali ya ccm itakuwa vibaya?
 
Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
si sahihi as if rais ana POWER kama MUNGU i.e Omnipotent & Omnipresent😎
 
Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
Watanzania aisee! Huo ni mkakati wa kichama kumtangaza Samia kwa watanzania ili ajulikane. Before nani alimjua hata wanaccm baadhi walimjulia kwenye mgongo wa JPM
Sasa ili ajulikane kwa wapiga kura wakaja na hiyo Katoa Rais samia.
Kila pesa atoe ana pesa gani? Pesa ni za kwetu.
Ilikuwa sahihi serikali imetoa kama ni kwa maswala ya maendeleo,lakini kama ni misaada huki kwa yatima, makanisani, misikitini au mtu mmoja mmoja sawa hapoa Samia katoa.
 
Wateule wa Rais wanakopeshwa Madaraka ya usimamizi tu lakini Mamlaka yote Yako Kwa Rais wa JMT

Hivyo ni Sahihi Kabisa kila Waziri anaposimama bungeni kumsifia na kumshukuru Rais Kwa kazi njema zilizofanywa wizarani

Dr Elly ametoa somo zuri sana kuhusu tofauti ya Mamlaka na Madaraka na amesema hata nyumbani Baba ndiye Mwenye Mamlaka na mama ana Madaraka Ndio kusema Mawaziri wanaplay role ya Umama

Credit: Chomoza ya Clouds tv

Nawatakieni Dominica njema 😄
Ni utamaduni mpya,, ambao nina hakika ni mbaya unaohafifisha fikra pevu. Wakati wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa mpaka Kikwete, watu walisema serikali imefanya, lakini ghafla kwa jiwe, Magufuli watu wakaanza ibada kwa Magufuli na kwa Samia imepitiliza zaidi. Kama ni Rais tu amefanya kodi zetu zina kazi gani, na watumishi wanapokea pesa bila kufanya lolote kwa vile Samia ndiye tu anafanya ????? !!!!!!!!! Mwafrica ni ugonjwa. Sifa zingine hata Samia akisikia anashangaa.
 
Back
Top Bottom