Ni sahihi kubebeshwa handbag ya mpenzi/mkeo?

Hizi picha zote za kenya. Si mnajua mambo ya kule?
 
Kama nataka nini? K? Kwani ukikosa K utakufa? Na K zilivyojaa hivyo yaani tuanze kutishiana mambo ya kunyimana? Hakuna hiyo...man laws lazima zizingatiwe, ziheshimiwe, na zifuatwe.

Aaaanh bra......yaani ubadilishe mpenzi for this simple matter????? I assume tumepita zile enzi tayari za kukamua popote bora bill ikamilike tu.....hit and run!!!!

Halafu kwani unatishwa au lile neno kubebeshwa ndo linakereketa na if so ..........sioni mume "akikibebeshwa" na mke yaani kwa nguvu ipi sasa.........????
Boflo
weka sawa hapa.......operational meaning ni ipi????
 
Last edited by a moderator:
Mimi Sioni ubaya wowote kubeba handbag ya mpenzi wangu, kama nisipo mfurahisha mpenzi wangu nikamfurahishe nani? Mimi Nabeba na wala sioni aibu kubeba handabag ya mpenzi wangu. Tatizo la sisi Waafrika hasa Watanganyika tumekuwa na kasumba ya kuona ukimsaidia mke wako au demu wako umelishwa libwata. Mtasema sana lakini sitowacha kumsaidia mke wangu au mpenzi wangu. Hata kupika huwa nitamwambia apumzike leo naingia mwenye jikoni zamu yangu, Mimi nakaa na demu wangu hata kushafisha nyumba weekend nasafisha. Unapokuwa na mke ndani usikirie una mtumwa bali ni mwenzako wa kusaidiana katika maisha na sio house girl.
 
kama naye ana mizigo imemzidi ntabeba sio mimi nibebe alf yeye anatembea kibosi Hell no siwezi.
 
Kwa hilo nakubali ila mh inataka moyo kiasi....sema sio kawaida sana na inashusha hadhi kidogo kwa mwanaume


Hadhi ya mwanaume inashuka???? Kwa kubeba pochi......unless it is a culture bound....otherwise in the coca cola era......hadhi ipo kwingine kabisaaaa....
 
Jambo la kawaida na la upendo. Inawezekana demu kachoka kweli. Kwa nini usimsaidie mwenzako? Kama unampenda utaona ni kawaida na wajibu kufanya hivyo.
 
Juzi Facebook wamepeleka roadshow lao Wall St Sheryl Sandberg kapigwa picha kambebesha mbaba (security?) handbag lake

 
Hadhi ya mwanaume inashuka???? Kwa kubeba pochi......unless it is a culture bound....otherwise in the coca cola era......hadhi ipo kwingine kabisaaaa....

Haipaswi kuwa one side...you need to be a real gentleman...kubeba sio shida ila sio tamaduni
 
Hakuna starehe nzuri kwangu kama kubebewa mkoba! ! Huhuuu ikishindikana kwa hali ya kawaida tajifanya hata nimeisahau ilimradi tu anifate nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…