Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Hahahahahahahahahahaha, me nilikwambia lazima anampa mwingine, sasa umeamini! Kwanini akunyime wakati alishatoa mara nyingi tu?
Hongera kwa kutaka kufanya maamuzi magumu na sahihi, mwanamke akikunyima ina bidi ufanye uchunguzi.
Huyo mpotezeeeeeee usije ukaja na uzi wa mchozi jamvini.
Duuuuh,hapo ex-boyfriend anapewa wewe una subiri!
Kweli Old is Gold
Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko ya kimaisha!
Wadau, wiki jana nilikuja na mada hapa jamvini kuwa mchumba angu hataki kutoa kitu hadi siku nikimwoa.
Lakini nimegundua kuwa anaendelea kuchart na wanaume wengine. Nilivyomuuliza anadai kuwa hao ni wapenzi wake wa zamani hivyo bado hajawaambia kuwa anaolewa lakini nisijali atawapotezea taratibu! Kwani hawezi kuwatosa ghafla.
Nahisi nimevunjika moyo kabisa na nimeamua bora nimpotezee kabisa huyu binti.
Kabla sijachukua uamuzi tofauti naomba ushauri wenu!
Nawasilisha!!!
Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko ya kimaisha!
Wadau, wiki jana nilikuja na mada hapa jamvini kuwa mchumba angu hataki kutoa kitu hadi siku nikimwoa.
Lakini nimegundua kuwa anaendelea kuchart na wanaume wengine. Nilivyomuuliza anadai kuwa hao ni wapenzi wake wa zamani hivyo bado hajawaambia kuwa anaolewa lakini nisijali atawapotezea taratibu! Kwani hawezi kuwatosa ghafla.
Nahisi nimevunjika moyo kabisa na nimeamua bora nimpotezee kabisa huyu binti.
Kabla sijachukua uamuzi tofauti naomba ushauri wenu!
Nawasilisha!!!