Ni sahihi kuendelea kuwasiliana na Xboyfriends wakati umechumbiwa tayari?

...Mpe miaka mitano ya kuanza kuwataarifu wanaume wake wa miaka ya nyuma kwamba ameamua kuolewa, hivyo akimaliza kuwataarifu katika kipindi hicho cha miaka mitano na kisha kuwatosa na kukata mawasiliano nao kabisa ndio muanze maandalizi ya harusi yenu.

 
huyo binti ana mgodi wa buzwagi katikati ya miguu nini mkuu? huyo angekuwa wa kupiga chini fasta without even a second thought....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…