Ni sahihi kuingiza bidhaa sokoni ikiwa umebaki mwezi mmoja kuexpire?

Ni sahihi kuingiza bidhaa sokoni ikiwa umebaki mwezi mmoja kuexpire?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Habari za jumapili wadau!

Binafsi nimekuwa mpenzi sana wa mtindi wa kampuni ya asas! Siku kadhaa hapa nyuma nilikutana mtindi ambao ulikuwa na harufu mbaya sana, binafs nikawa nahisi uenda humu kwenye maduka friji huwa wanazima labda ndiyo maana inaharibika.

Niliwaambia wauzaji kuwa mtindi imeharibika,ya siku kadhaa hapo nyuma! Ila wala sikutaka fidiabcos biashara zenyewe za faida tsh 100 sio za kudai tena, mtindi wa mwisho kati ya ile iliyokuwa mibaya kabisa nikaangalia expire date nakuta bado mwezi mmoja, nikasema uenda ndiyo sababu! Kufungua ngoma bado imeharibika!

Majuzi nikanunua mwingine! Nafungua fresh hauna tatizo, nimeangalia mda wa expire bado mwezi mmoja! Nikamuuliza wa dukani asbh yake, akanimbia mzigo upya ameupata kwa jana yake! Sasa hapa nilipo najiuliza hasa hawa mamlaka ya dawa na chakula (TMDA) Je, ni sahihi kuingiza sokoni bidhaa iliyobakisha mwezi mmoja kwa matumizi?

Kwenu watalaam.

IMG20230503221845.jpg
 
Tarehe za ku expire hutegemea na bidhaa.

Zipo zinazofaa kuhifadhi kwa muda mrefu zingine zinakuwa nzuri zaidi zikihifadhiwa kwa muda mfupi
Mfano: Nyanya, Ndizi mbivu, Maziwa, Blue band nk

Mbona mwezi ni muda mrefu tu kwa maziwa yaliyo hifadhiwa kwenye pact?

Ingekuwa yapo kwenye Ndoo au proper container ndio yangeweza kukaa muda mrefu.

Na ndio sababu wauzaji hushauriwa kuchukua stock ndogo ndogo kila wiki gari likipita badala ya kujilimbikizia ma carton
 
Ila nahc maziwa expired date miezi 3 toka date of production/manufacturing
 
JE NI HALALI KUOA MWANAMKE AMBAE AMEKWISHA ZAA WATOTO KADHAA?
 
Maziwa ya pakti mtindi yote yana expire ndani ya mwezi. ( Asas, Tanga Fresh, Dar Fresh, Kilimanjaro etc)

Maziwa fresh ambayo hayajaongezwa preservatives yana expire ndani ya siku 7.

Yaliyowekwa preservatives ndani ya miezi mi3.

Ndio maana si maduka yote utakuta maziwa fresh au mtindi ya pakiti.

Na mimi ni mdau wa maziwa hayo kwasababu ni halisi, tukiachana na yale ya Pemba ambayo hata ladha siyo.
 
Habari za jumapili wadau!

Binafsi nimekuwa mpenzi sana wa mtindi wa kampuni ya asas! Siku kadhaa hapa nyuma nilikutana mtindi ambao ulikuwa na harufu mbaya sana, binafs nikawa nahisi uenda humu kwenye maduka friji huwa wanazima labda ndiyo maana inaharibika.

Niliwaambia wauzaji kuwa mtindi imeharibika,ya siku kadhaa hapo nyuma! Ila wala sikutaka fidiabcos biashara zenyewe za faida tsh 100 sio za kudai tena, mtindi wa mwisho kati ya ile iliyokuwa mibaya kabisa nikaangalia expire date nakuta bado mwezi mmoja, nikasema uenda ndiyo sababu! Kufungua ngoma bado imeharibika!


Majuzi nikanunua mwingine! Nafungua fresh hauna tatizo, nimeangalia mda wa expire bado mwezi mmoja! Nikamuuliza wa dukani asbh yake, akanimbia mzigo upya ameupata kwa jana yake! Sasa hapa nilipo najiuliza hasa hawa mamlaka ya dawa na chakula (TMDA) Je! Ni sahihi kuingiza sokoni bidhaa iliyobakisha mwezi mmoja kwa matumizi?

Kwenu watalaam.View attachment 2613838
Mwezi mmoja ni sawa, mbona mikate inakuwa na siku tano hadi wiki tu?. Kama ni harufu itakuwa mwenye duka huenda alikosa umeme/ulikatika hivo friji kushindwa kuhifadhi maziwa vizuri. Kumbuka yakiwa dukani ama nyumbani yanahitaji friji linalofanya kazi mda wote.
 
Habari za jumapili wadau!

Binafsi nimekuwa mpenzi sana wa mtindi wa kampuni ya asas! Siku kadhaa hapa nyuma nilikutana mtindi ambao ulikuwa na harufu mbaya sana, binafs nikawa nahisi uenda humu kwenye maduka friji huwa wanazima labda ndiyo maana inaharibika.

Niliwaambia wauzaji kuwa mtindi imeharibika,ya siku kadhaa hapo nyuma! Ila wala sikutaka fidiabcos biashara zenyewe za faida tsh 100 sio za kudai tena, mtindi wa mwisho kati ya ile iliyokuwa mibaya kabisa nikaangalia expire date nakuta bado mwezi mmoja, nikasema uenda ndiyo sababu! Kufungua ngoma bado imeharibika!


Majuzi nikanunua mwingine! Nafungua fresh hauna tatizo, nimeangalia mda wa expire bado mwezi mmoja! Nikamuuliza wa dukani asbh yake, akanimbia mzigo upya ameupata kwa jana yake! Sasa hapa nilipo najiuliza hasa hawa mamlaka ya dawa na chakula (TMDA) Je! Ni sahihi kuingiza sokoni bidhaa iliyobakisha mwezi mmoja kwa matumizi?

Kwenu watalaam.View attachment 2613838
Hiyo ni Perishable food..ina short shelf life., kwa hiyo huo mwezi ni sawa kabisa cha kuzingatiwa hapo ni uhifadhi katika jotoridi sahihi kama ilivyoelekezwa kkt kipind chote cha uhai wake na kuepuka kudisturb mazingira ya uhifadhi (ile stail ya kuzima friji na kuwasha ni mbaya sana inapelekea kuharibika haraka). So kinachotufelisha ni temperature control in the supply chain.
 
Back
Top Bottom