Akichanganya kuna shida gani?kama kweli imeshindikana kumnyonyesha, vyema mchague moja, yaani kama ni maziwa ya kopo ni hayo tuu, aachane na habari ya maziwa ya mama.
Mtoto anapaswa kupata Exclusive breast feeding for six months baada ya hapo anaweza fanya weaning. Si sahihi kumpa mtoto mchanga maziwa ya kopo unless mama yake labda kalazwa ICU kwa mda mrefu au hayupo duniani. Kama mama yuko busy sana anaweza express milk akaacha kwenye bottle akanyweshwa na anayemsaidia kulea mtoto.
Digestive system ya mtoto imeandaliwa kwa maziwa ya mama na si ya ng'ombe. Maziwa ya kopo hushauriwa pale ambapo mama hayupo duniani ama kalazwa ICU mda mrefu au kapata pueperal psychosis inayoweza pelekea mdhuru mtotoBora ya kopo kuliko ya ng'ombe,maana ya ng'ombe yana madini ya chuma kwa kiasi kidogo sana
WHO inashauri Exclusive breast feeding for six months. Maziwa ya kopo hayawezi fanana sawasawa kabisa na maziwa ya mama.labda kama uchumi hauruhusu,maziwa ya kopo yana viturubisho sawa na ya mama.sina uhakika though..........lol
AbsolutelySi sahihi
Muhimu maziwa ya mama
Bora akamue kuliko kumpa maziwa ya kopoSi ayakamue hayo yake?hata ya kopo hayana shida mazuri ni s26
Ni kutomtendea haki mtoto kumpa maziwa ya kopo Kwa kudhani matiti yatakuwa ndala. Changes kwa mwanamke haziepukikisio sahihi ni hawa tu mademu wasiku hizi wanataka wajifungue kwa operation k ziendelee kubana,na hawataki maziwa yao yawe lapa kwa kunyonyesha,ila ni kwamba huwa ni ulimbukeni maziwa ya mamani very powerfullukilinganisha na ya chupa
WHO inashauri Exclusive breast feeding for six months. Maziwa ya kopo hayawezi fanana sawasawa kabisa na maziwa ya mama.
ulimbukeni tuuNi kutomtendea haki mtoto kumpa maziwa ya kopo Kwa kudhani matiti yatakuwa ndala. Changes kwa mwanamke haziepukiki
Mkuu umesahau Na sababu nyengine ya kutumia kopo kunyonyesha ni ni mama mzazi kua Na VVUMtoto anapaswa kupata Exclusive breast feeding for six months baada ya hapo anaweza fanya weaning. Si sahihi kumpa mtoto mchanga maziwa ya kopo unless mama yake labda kalazwa ICU kwa mda mrefu au hayupo duniani. Kama mama yuko busy sana anaweza express milk akaacha kwenye bottle akanyweshwa na anayemsaidia kulea mtoto.
Kwann huyo mtoto asiwe naakili za Ng'ombe +mihogo yaliyoko kwenye hayo makopo yenu ??.Naombeni ushauri,,,
mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa mwezi mmoja ila mama wa mtoto ana kosa muda wa kumnyonyesha kwa sababu muda mwingine anakuwa kwenye vipindi (lectures).Sasa je,ni salama kiafya kumpa mtoto maziwa mfano (Lactogen 1) tofauti na ya mama kwa muda ambao mtoto atakosa kunyonya?.