Siku hizi wanaruhusiwa kunyonyesha japo anaweza amua asinyonyesheMkuu umesahau Na sababu nyengine ya kutumia kopo kunyonyesha ni ni mama mzazi kua Na VVU
Wenye uchungu na watoto hufanya hivyoKwann huyo mtoto asiwe naakili za Ng'ombe +mihogo yaliyoko kwenye hayo makopo yenu ??.
Kwan mama asi freeze mwaka huu ,abaki at least alee mtoto ,mwakan aendelee ????.
Tatizo lawabongo ,, tunakujaga kujutia wakat ambao yupo ktk point of no return.... ELIMU IPO TUUUUU.
Hapo NDO unajua mama hakua tayar nakuzaa ,basi tuuuu ilimbidi ...Wenye uchungu na watoto hufanya hivyo
Wanawake wanadanganywa mno! Kujifungua kwa operesheni bila indication ni maamuzi ya hovyo. Unakuta operation imefanyika eti sababu ni maternal request!! WHO inashauri 'avoid unnecessary caesarian sections'. Nyie wamama mnategea sisi tutakataa kuwapiga visu mkiomba? Nani hataki pesa? Lakini tambueni kuwa athari za operation ni mbaya zaidi kuliko hizo faida mnazodanganyana.ulimbukeni tuu
Shida ipo. Pamoja na nutrients kunyonyesha kunatengeneza bonding kati ya mama na mtotohakuna shida yoyote mkuu
Shida ipo. Pamoja na nutrients kunyonyesha kunatengeneza bonding kati ya mama na mtoto
Wa mama walioathirika na VVU siku hizi hawatuumizi vichwa coz tunawaweka kwenye programu ya Prevention of Mother To Child Transmision (PMTCT) of HIV. Kwa hiyo mama anaweza nyonyesha tu na huyo ambaye hatoi maziwa lazima tuhakikishe anatoa maziwaKama Mama hana maziwa au ameathirika na ukimwi ni sahihi
Naongelea Mother - infant bondingmbona wababa hawanyonyeshi na wana bond na watoto wao?
Naongelea Mother - infant bonding
Una hakika na uandaaji wake,gharama zake pia? Ni vyema kujua hali hizo ili kuweza kumshauri vizuri maana tatizo linaweza kutokea kati ya hayo na kupelekea mtoto kupata utapiamlolabda kama uchumi hauruhusu,maziwa ya kopo yana viturubisho sawa na ya mama.sina uhakika though..........lol
Yeah, hakuna bond kwa maziwa ya kopo. Nyonyesheni watotokwani mama kitendo cha kumpa mtoto ya kopo,hakitengenezi bond?
Hahaaaaaa unaambiwa Turkey asilimia 70+ wana opt C/ S nilishangaa sana mpaka WHO iliwaambia ni hatariWanawake wanadanganywa mno! Kujifungua kwa operesheni bila indication ni maamuzi ya hovyo. Unakuta operation imefanyika eti sababu ni maternal request!! WHO inashauri 'avoid unnecessary caesarian sections'. Nyie wamama mnategea sisi tutakataa kuwapiga visu mkiomba? Nani hataki pesa? Lakini tambueni kuwa athari za operation ni mbaya zaidi kuliko hizo faida mnazodanganyana.
Una hakika na uandaaji wake,gharama zake pia? Ni vyema kujua hali hizo ili kuweza kumshauri vizuri maana tatizo linaweza kutokea kati ya hayo na kupelekea mtoto kupata utapiamlo
Yoote mkuu namaanisha jaribu kumwekea kizembelabda niwe specific,mie siongelei maziwa ya ng'ombe,naongelea ya kopo,watatengeneza yasio na virutubisho vinavyomfaa mtoto,ili iweje???
Yeah, hakuna bond kwa maziwa ya kopo. Nyonyesheni watoto
Tanzania Dar ndo inaongoza ina kama 16% kama sijasahau ngoja nikapitie kwenye ripoti ya THDS - MI (2015/2016)Hahaaaaaa unaambiwa Turkey asilimia 70+ wana opt C/ S nilishangaa sana mpaka WHO iliwaambia ni hatari
Unabisha viti usivyojua endelea na hizo habari zakobond ipo,nimekuuliza mbona baba wa mtoto hanyonyeshi,ina maana mtoto anakosa bond kwa baba yake????kitendo cha kua karibu na mwanao ndio bond,sio kunyonyesha,get it right.