Ni sahihi kumpa mtoto mchanga maziwa ya kopo badala ya kumnyonyesha maziwa ya mama?

Ingawa Wataalamu wanaamini kuwa Maziwa ya Mama ni chaguo zuri kwa mtoto mchanga, kunyonyesha haiwezekani kwa kila mama mzazi.

Wengi wao maamuzi ya kunyonyesha au kutumia formula(maziwa ya kopo) yanategemea na life style, matibabu maalumu anayopata mama na pia comfort ya huyo mama.

Kwa wamama ambao hawawezi kunyonyesha au wameamua kuto nyonyesha, formula(maziwa ya kopo) ni mbadala mzuri, ina provide virutubisho vinavyomsaidia mtoto kukua na kustawi.

Baadhi ya kina mama wanahofia wasipo nyonyesha hawatakuwa na bond na watoto wao, ukweli ni kwamba upendo/mapenzi ya mama siku zote yatawaunganisha na watoto wao.
Ila katika kunyonyesha ndio muda mzuri wa kukuza Bond na mtoto.

Uamuzi wa kunyonyesha au kutumia formula(maziwa ya kopo) kwa watoto ni maamuzi binafsi,
Cha muhimu ni kupima faida na hasara za matumizi ya njia hizo mbili na kuamua njia ipi ni bora Kwako na kwa mtoto wako.
 
labda kama uchumi hauruhusu,maziwa ya kopo yana viturubisho sawa na ya mama.sina uhakika though..........lol
Duh !! Wewe ni doctor ?? Kila nikihudhuria semina naskia wataalamu wanasema maziwa ya mama ni far better thn maziwa ya kopo
 
Zamani sana kulikuwa na maziwa ya kopo au mnaleta ubishoo ili maziwa yasiwe ndala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…