Ni sahihi kumuwekea “teenager” TV chumbani kwake?

Ni sahihi kumuwekea “teenager” TV chumbani kwake?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kwakweli utandawazi wazi umeharibu mila na desturi zetu. Ni kawaida watoto kuangalia vipindi na sinema wanazopenda hata kuna wakati unakosa nafasi ya kuangalia taarifa ya habari.

Watoto kuwa na uhuru wa kuangalia vipindi vyao vyumbani mwao wanaupenda sana. Lakini pale mtoto anaposhindwa kupangilia muda wa masomo na kuwa kwenye TV muda wote si mzazi unaweza kujilaumu kama akifeli masomo.

Nilibahatika wa kwangu mimi alikuwa na TV chumbani kwake lakini alishajipangia muda na kuangalia ni Jumapili tu. Alifanikiwa kupata division one. Wadogo zake siamini kama watakuwa na discipline kama ya kaka yao.
 
Ni sawa tu maana kwa dunia ya leo hakuna wasichokijua, TV hazina shida kama zilivyo simu. Simu ina mambo mengi ya ajabu
 
Huwezi kujua kama hutowawekea na kuona mienendo yao, kingine kama uliweza kumuwekea kaka yao na kuwakatalia wao bila kuwapa sababu solid ya kuona wao ndio wamesababisha, utatengeneza matabaka ya wanaopendwa na wasiopendwa kitu ambacho si kizuri pia. Wape wakizingua toa, simple
 
Kwakweli utandawazi wazi umeharibu mila na desturi zetu. Ni kawaida watoto kuangalia vipindi na sinema wanazopenda hata kuna wakati unakosa nafasi ya kuangalia taarifa ya habari.

Watoto kuwa na uhuru wa kuangalia vipindi vyao vyumbani mwao wanaupenda sana. Lakini pale mtoto anaposhindwa kupangilia muda wa masomo na kuwa kwenye TV muda wote si mzazi unaweza kujilaumu kama akifeli masomo.

Nilibahatika wakwangu mimi alikua na TV chumbani kwake lakini alishajipangia muda na kuangalia ni Jumapili tu. Alifanikiwa kupata division one. Wadogo zake siamini kama watakua na discipline kama ya kaka yao.
Hujitaji tv chumbani kwa mtu yeyote

Labda iwe hotelini au hospitali
 
Ni sawa tu maana kwa dunia ya leo hakuna wasichokijua, TV hazina shida kama zilivo simu. Simu ina mambo mengi ya ajabu
Ni muhimu kuminimize chances za mtu kutolala vizuri hasa kama Bado ni teen…

Tv na simu ni moja ya vishawishi vya mtu kutolala mapema

Achilia mbali contents anazoweza kuziangalia

Na ukizingatia tv za kisasa ki smart ones, anything can happen
 
Unamwekea tu ila unamsettia parental guidance kwenye tv na baadhi ya chanells
Unaseti Parental control huku umemuweka smart tv dogo anaconnect na hotspots anaangalia anachotaka online pasipo zuio la PG.
 
Nitajie msomi mkubwa anaetokea mjini kati palipo na mativi ndani mwa vyumba vya watoto, ma dr,prof,eng wengi hutoka kusiko hata na radio,,sikia wakifa wanazikwa kwao wapi
 
Sometimes huwa najiuliza hivi wazazi wana play part kwenye malezi ya watoto hasa academically ? Au ni watoto wenyewe waamue ? Kwambwa hata wazazi wasipokuwepo hakuna impact yeyote ? Ili swali naomba unijibu dada Sky Eclat

Kwa nini nimeuliza hivyo nitakupa mifano yangu binafsi katika wazazi ambao hawakuwa na mda na shule wao ni daftari na kalamu wamemaliza hata wakiitwa shule hawaendi walikuwa ni wazazi wangu broo alikuwa huru kuliko yaani shule ataenda akijisikia ata kesi za kuita wazazi anatafuta wazee wahuni kitaa anawajua akimpa hela ya sigara anakuwa mzazi feki .ili niliiga kwake (kwa hapa naamini bad influence Ipo wadogo huwa tunaiga mambo mengi kwa kaka zetu hasa tukiwa tunaishi pamoja) lakini form 4 alipiga 1 yake ya kawaida tu akaendelea na safari yake ya elimu same apply to me


Na jirani kuna mtoto wa kiume alikuwa ana zero parental supervision nikisema zero ujue namaanisha kweli ata asipoonekana nyumbani siku mbili mzee wake hana hata habari [emoji3] kwanza mzee mlevi sana sana akimuona ataomba mwanaye ela akanywe gongo tu na dogo ye pekee mtihan wa mwisho alifaulu alipiga two kulikuwa na three chache ,four kama zote na wenzake ambao nawaona hapa kitaa wanaotoka nyumbani ambapo kuna baba na mama na kupo stable tofauti na huyu walitaga ilikuwa shule ya kata .
 
Siyo watoto wote wanaojielewa kwamba asiangalie muvi asome, sijui
Sio kuangalia movie tu, ila huo uhuru kwa mitoto mingine itautumia kuwaangalia kina
KIRA NOIR, JADA FIRE, JENNA FOXX, NYOMI BANXX, JADE ASPEN, JEZABEL VESSIR, ANA FOXXX, ARYANA ADIN, MEGAN VAUGHN, SINNAMON LOVE, DIAMOND JACKSON, CASSIDY BANKS, ANYA IVY, JASMINE WEBB, CODI BRYANT, TEANNA TRUMP, SARAH BANKS,
SKIN DIAMOND, bila kumsahau mkali wangu MASERATI.
 
Sio kuangalia movie tu, ila huo uhuru kwa mitoto mingine itautumia kuwaangalia kina
KIRA NOIR, JADA FIRE, JENNA FOXX, NYOMI BANXX, JADE ASPEN, JEZABEL VESSIR, ANA FOXXX, ARYANA ADIN, MEGAN VAUGHN, SINNAMON LOVE, DIAMOND JACKSON, CASSIDY BANKS, ANYA IVY, JASMINE WEBB, CODI BRYANT, TEANNA TRUMP, SARAH BANKS,
SKIN DIAMOND, bila kumsahau mkali wangu MASERATI.
Sasa ww umeamua kuwapatia playlist ya weekend
 
TV chumbani ya nini, angalie nini ambacho atashindwa kukiangalia sebuleni. Kwa jinsi ratiba za shule zilivyo kaa sidhani kama atakuwa na muda wa TV.
Chumbani mjengee kabati la vitabu vya shule na hadithi mbalimbi.
 
Back
Top Bottom