Hujitaji tv chumbani kwa mtu yeyoteKwakweli utandawazi wazi umeharibu mila na desturi zetu. Ni kawaida watoto kuangalia vipindi na sinema wanazopenda hata kuna wakati unakosa nafasi ya kuangalia taarifa ya habari.
Watoto kuwa na uhuru wa kuangalia vipindi vyao vyumbani mwao wanaupenda sana. Lakini pale mtoto anaposhindwa kupangilia muda wa masomo na kuwa kwenye TV muda wote si mzazi unaweza kujilaumu kama akifeli masomo.
Nilibahatika wakwangu mimi alikua na TV chumbani kwake lakini alishajipangia muda na kuangalia ni Jumapili tu. Alifanikiwa kupata division one. Wadogo zake siamini kama watakua na discipline kama ya kaka yao.
Ni muhimu kuminimize chances za mtu kutolala vizuri hasa kama Bado ni teen…Ni sawa tu maana kwa dunia ya leo hakuna wasichokijua, TV hazina shida kama zilivo simu. Simu ina mambo mengi ya ajabu
Unaseti Parental control huku umemuweka smart tv dogo anaconnect na hotspots anaangalia anachotaka online pasipo zuio la PG.Unamwekea tu ila unamsettia parental guidance kwenye tv na baadhi ya chanells
Kwa Tv za sasa sio rahis hvyo.Cha muhimu kumonitor channel au media anazoangalia.
Sio kuangalia movie tu, ila huo uhuru kwa mitoto mingine itautumia kuwaangalia kinaSiyo watoto wote wanaojielewa kwamba asiangalie muvi asome, sijui
Naona wenye mambo ya kidhungu mmekutanaNi sawa tu maana kwa dunia ya leo hakuna wasichokijua, TV hazina shida kama zilivyo simu. Simu ina mambo mengi ya ajabu
Sasa ww umeamua kuwapatia playlist ya weekendSio kuangalia movie tu, ila huo uhuru kwa mitoto mingine itautumia kuwaangalia kina
KIRA NOIR, JADA FIRE, JENNA FOXX, NYOMI BANXX, JADE ASPEN, JEZABEL VESSIR, ANA FOXXX, ARYANA ADIN, MEGAN VAUGHN, SINNAMON LOVE, DIAMOND JACKSON, CASSIDY BANKS, ANYA IVY, JASMINE WEBB, CODI BRYANT, TEANNA TRUMP, SARAH BANKS,
SKIN DIAMOND, bila kumsahau mkali wangu MASERATI.