Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu naomba tusaidiane.
Unawezaje kufikisha ujumbe kwa mapenzi wako au mkeo kuwa hakulidhishi?
Je, ni sahii kumwambia direct au Kuna njia ya kufikisha ujumbe huu kwa wepesi?
Je, ni sahii kujinyima raha ya kulidhishwa kimapenzi kwa kigezo cha kuitwa mwaminifu na mwenye msimamo?
Karibuni
Hahahahahahah, you're right njoo inbox tufahamiane mpendwa umekuwa na majibu ya moja kwa moja bila kipepesa macho japo nahisi yeye aliambiwa na mpenzi wake mwanamkeAnakuridhisha. Shida ni kwamba ume-sex na wanawake wengi sana na umefanyiwa uchafu wa kila aina plus pornography hivyo unafanya analysis za kizinzi tupu. How comes mwanaume usiridhike kama siyo kuathirika?Wanaume mnaridhika kwa urahisi sana maana you guys need not to be prepared like women. Nyie kuridhika kwenu ni kumwaga tu.
This is a key question?ukisex na mkeo huwa humwagi? Umeachiwa mwili wote uufanye utakavyo yet unasema huridhishwi? Premarital sex na michepuko imewaharibu sana. Sijui mnataka nini
Huko inbox unataka nini tena?Msalimie wifi yangu.Hahahahahahah, you're right njoo inbox tufahamiane mpendwa umekuwa na majibu ya moja kwa moja bila kipepesa macho japo nahisi yeye aliambiwa na mpenzi wake mwanamke
Wakuu naomba tusaidiane.
Unawezaje kufikisha ujumbe kwa mapenzi wako au mkeo kuwa hakulidhishi?
Je, ni sahii kumwambia direct au Kuna njia ya kufikisha ujumbe huu kwa wepesi?
Je, ni sahii kujinyima raha ya kulidhishwa kimapenzi kwa kigezo cha kuitwa mwaminifu na mwenye msimamo?
Karibuni
Si ulioa mchaga??sasa unataka nini tena?vipi usharudi ukweni?
Vipi tena mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]