Ni Sahihi Kutumia Nondo za 10mm Kwenye Mifereji ya Paa la "Hidden Roof"?

Ni Sahihi Kutumia Nondo za 10mm Kwenye Mifereji ya Paa la "Hidden Roof"?

Mimi nakushauri upaue kawaida, yaani hilo paa exposure to sunlight iko so close and direct, angalau hilo paa la kawaida kuna space kabla ya boards (gypsum). Kingine huwezi kuzuia maji yasishike kwenye kuta, so utahangaika sana
Water proofing material zimejaa siku hizi, sioni sababu ya kuogopa. Tatizo wabongo mnatembea sana na story za kusikia
 
Kwema Wakuu?
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.

Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.

Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.

Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.
Kwani injinia aliye design jengo lako kasemaje? Maana yeye ndiye anajua nondo gani ya kuweka kwenye jengo na kwanini, hii sio kazi ya fundi wala sio yako.
 
Mtu akija humu kuuliza namna ya kujenga ina maanisha hana uwezo wa kumuweka mwandisi majengo. Hii inaashiria kuwa uwezo wa mtu huyo kwenye contemporary roofing ni mdogo. Teknolojia hii ya ujenzi ndiyo imeingia nchini na mafundi wengi wa mtaani hawana mafunzo ya mfumo huu. Wengi wao wanafanya kwa kuiga namna walivyojenga na wachina hivyo kujikuta wakiwaharibia watu wengi nyumba.

Contemporary roofing/housing inahitaji msanifu majengo (Architect) na mwandisi majengo (Civil Engineer) waliyosomea au wenye uzoefu wa mfumo huu mpya wa ujenzi. Kuwatumia hawa wataalamu kunahitaji fedha.

Hivyo ninashauri kujenga kawaida kama uwezo wako ni kutaka ushauri kwa watu wa humu ndani, ambao utaupata bure lakini siyo kutoka kwa mtaalamu, ili usije ukajuta na kujenga uadui na fundi wako.

Asipo elewa akatafte mganga kwa hii Nondo
 
Exposure ndo tatizo .neno woter proof kwao ni mtihani achilia hivyo vingine
Kabisa mkuu. Mtu anatoa comments tena kwa mihemko kabisa. Material kibao kwajili ya kazi kama hizi zimejaa madukani.
Nimepaua hii stail na sijawahi kuona hata tone la maji
 
Usanifu wa upauaji kisasa hauhitaji fundi njaa,,hauhitaji mbambamba katika materials hizi nyumba ni nzuri kwa muonekano lakini hazifai kuishi mosi nyingi huvuja pili hazina maisha marefu kwa sababu ya mzigo mkubwa inao ubeba juu hii hutegemea na msingi una huimara kiasi gani lakini tujifunze hizi nyumba zilikuwepo mwanzo tuliziita msumbiji leo zipo kwa kiasi gani unaweza kuzi renovate, kwanini zimerudi hapo hawali zilijengwa na mashirika Kama idara ya maji taasisi za kidini kampuni za kichina Kama temporary house ambazo huachwa baada ya kutumika mda mchache mfano zile za busisi usasa wake unatoka wapi..kifupi hizi nyumba hazijengwi na mlala hoi
 
Kwema Wakuu?
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.

Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.

Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.

Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.
Ni vizuri ukatumia nondo za 12mm kwa sababu kwenye kingo za huo mfereji (pembeni) kuna kozi ya tofali inapita, lakini pia sehemu ya uzito wa paa unaegemea kwenye huo ukuta wa kingo...tumia nondo za 12mm na wire mesh kwa usalama zaidi
 
Mtu akija humu kuuliza namna ya kujenga ina maanisha hana uwezo wa kumuweka mwandisi majengo. Hii inaashiria kuwa uwezo wa mtu huyo kwenye contemporary roofing ni mdogo. Teknolojia hii ya ujenzi ndiyo imeingia nchini na mafundi wengi wa mtaani hawana mafunzo ya mfumo huu. Wengi wao wanafanya kwa kuiga namna walivyojenga na wachina hivyo kujikuta wakiwaharibia watu wengi nyumba.

Contemporary roofing/housing inahitaji msanifu majengo (Architect) na mwandisi majengo (Civil Engineer) waliyosomea au wenye uzoefu wa mfumo huu mpya wa ujenzi. Kuwatumia hawa wataalamu kunahitaji fedha.

Hivyo ninashauri kujenga kawaida kama uwezo wako ni kutaka ushauri kwa watu wa humu ndani, ambao utaupata bure lakini siyo kutoka kwa mtaalamu, ili usije ukajuta na kujenga uadui na fundi wako.
Mi sijawahi kuwaamini wahandisi wa makaratasi kamwe
 
Ni vizuri ukatumia nondo za 12mm kwa sababu kwenye kingo za huo mfereji (pembeni) kuna kozi ya tofali inapita, lakini pia sehemu ya uzito wa paa unaegemea kwenye huo ukuta wa kingo...tumia nondo za 12mm na wire mesh kwa usalama zaidi
Paa kuegemea kwenye ukuta wa kingo inategemea namna mfereji ulivyowekwa.. kuna mifereji inakaa kwa nje na inayokaa kwa ndani ya nyumba.. inayokaa nje ya nyumba paa linaegemea kwenye ukuta wa nyumba.
 
Mi sijawahi kuwaamini wahandisi wa makaratasi kamwe
Inawezekana unachanganya kati ya Mafundi Mchundo na Wahandisi. Mafundi Mchundo (Technicians) hawa ndiyo mafundi wa kujenga, Wahandisi wao kazi yao si kujenga, bali kazi yao ni kuwasimamia mafundi mchundo kujenga kwa mujibu wa Ramani na kwa kufuata kanuni za ujenzi husika!!

Halafu ujenzi bora huanzia kwenye makaratasi.
 
Inawezekana unachanganya kati ya Mafundi Mchundo na Wahandisi. Mafundi Mchundo (Technicians) hawa ndiyo mafundi wa kujenga, Wahandisi wao kazi yao si kujenga, bali kazi yao ni kuwasimamia mafundi mchundo kujenga kwa mujibu wa Ramani na kwa kufuata kanuni za ujenzi husika!!

Halafu ujenzi bora huanzia kwenye makaratasi.
Kazi ya technician sio kujenga ni kuimplement kile alichodizain engineer pamoja na kufata kanuni za ujenzi tofautisha Kati technician na Craftsman

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Hidden Roof inahitaji ujuzi wa Engineering ndio akushauri ili kuondoa errors kwa ushauri njoo pm
 
Back
Top Bottom