Water proofing material zimejaa siku hizi, sioni sababu ya kuogopa. Tatizo wabongo mnatembea sana na story za kusikiaMimi nakushauri upaue kawaida, yaani hilo paa exposure to sunlight iko so close and direct, angalau hilo paa la kawaida kuna space kabla ya boards (gypsum). Kingine huwezi kuzuia maji yasishike kwenye kuta, so utahangaika sana
Exposure ndo tatizo .neno woter proof kwao ni mtihani achilia hivyo vingineWater proofing material zimejaa siku hizi, sioni sababu ya kuogopa. Tatizo wabongo mnatembea sana na story za kusikia
Kwani injinia aliye design jengo lako kasemaje? Maana yeye ndiye anajua nondo gani ya kuweka kwenye jengo na kwanini, hii sio kazi ya fundi wala sio yako.Kwema Wakuu?
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.
Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.
Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.
Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.
Mtu akija humu kuuliza namna ya kujenga ina maanisha hana uwezo wa kumuweka mwandisi majengo. Hii inaashiria kuwa uwezo wa mtu huyo kwenye contemporary roofing ni mdogo. Teknolojia hii ya ujenzi ndiyo imeingia nchini na mafundi wengi wa mtaani hawana mafunzo ya mfumo huu. Wengi wao wanafanya kwa kuiga namna walivyojenga na wachina hivyo kujikuta wakiwaharibia watu wengi nyumba.
Contemporary roofing/housing inahitaji msanifu majengo (Architect) na mwandisi majengo (Civil Engineer) waliyosomea au wenye uzoefu wa mfumo huu mpya wa ujenzi. Kuwatumia hawa wataalamu kunahitaji fedha.
Hivyo ninashauri kujenga kawaida kama uwezo wako ni kutaka ushauri kwa watu wa humu ndani, ambao utaupata bure lakini siyo kutoka kwa mtaalamu, ili usije ukajuta na kujenga uadui na fundi wako.
Kabisa mkuu. Mtu anatoa comments tena kwa mihemko kabisa. Material kibao kwajili ya kazi kama hizi zimejaa madukani.Exposure ndo tatizo .neno woter proof kwao ni mtihani achilia hivyo vingine
Yaani hizo nyumba ni mradi wa faida kwa NABAKI AFRIKAMbona kama nazo pasua kichwa, japo stori za mitaa zinasema zinaokoa gharama. Ni ipi?
Ni vizuri ukatumia nondo za 12mm kwa sababu kwenye kingo za huo mfereji (pembeni) kuna kozi ya tofali inapita, lakini pia sehemu ya uzito wa paa unaegemea kwenye huo ukuta wa kingo...tumia nondo za 12mm na wire mesh kwa usalama zaidiKwema Wakuu?
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.
Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.
Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.
Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.
Mi sijawahi kuwaamini wahandisi wa makaratasi kamweMtu akija humu kuuliza namna ya kujenga ina maanisha hana uwezo wa kumuweka mwandisi majengo. Hii inaashiria kuwa uwezo wa mtu huyo kwenye contemporary roofing ni mdogo. Teknolojia hii ya ujenzi ndiyo imeingia nchini na mafundi wengi wa mtaani hawana mafunzo ya mfumo huu. Wengi wao wanafanya kwa kuiga namna walivyojenga na wachina hivyo kujikuta wakiwaharibia watu wengi nyumba.
Contemporary roofing/housing inahitaji msanifu majengo (Architect) na mwandisi majengo (Civil Engineer) waliyosomea au wenye uzoefu wa mfumo huu mpya wa ujenzi. Kuwatumia hawa wataalamu kunahitaji fedha.
Hivyo ninashauri kujenga kawaida kama uwezo wako ni kutaka ushauri kwa watu wa humu ndani, ambao utaupata bure lakini siyo kutoka kwa mtaalamu, ili usije ukajuta na kujenga uadui na fundi wako.
Paa kuegemea kwenye ukuta wa kingo inategemea namna mfereji ulivyowekwa.. kuna mifereji inakaa kwa nje na inayokaa kwa ndani ya nyumba.. inayokaa nje ya nyumba paa linaegemea kwenye ukuta wa nyumba.Ni vizuri ukatumia nondo za 12mm kwa sababu kwenye kingo za huo mfereji (pembeni) kuna kozi ya tofali inapita, lakini pia sehemu ya uzito wa paa unaegemea kwenye huo ukuta wa kingo...tumia nondo za 12mm na wire mesh kwa usalama zaidi
Inawezekana unachanganya kati ya Mafundi Mchundo na Wahandisi. Mafundi Mchundo (Technicians) hawa ndiyo mafundi wa kujenga, Wahandisi wao kazi yao si kujenga, bali kazi yao ni kuwasimamia mafundi mchundo kujenga kwa mujibu wa Ramani na kwa kufuata kanuni za ujenzi husika!!Mi sijawahi kuwaamini wahandisi wa makaratasi kamwe
Kazi ya technician sio kujenga ni kuimplement kile alichodizain engineer pamoja na kufata kanuni za ujenzi tofautisha Kati technician na CraftsmanInawezekana unachanganya kati ya Mafundi Mchundo na Wahandisi. Mafundi Mchundo (Technicians) hawa ndiyo mafundi wa kujenga, Wahandisi wao kazi yao si kujenga, bali kazi yao ni kuwasimamia mafundi mchundo kujenga kwa mujibu wa Ramani na kwa kufuata kanuni za ujenzi husika!!
Halafu ujenzi bora huanzia kwenye makaratasi.