Ni sahihi kutumia sabuni ya kuoshea vyombo kuongea?

Ni sahihi kutumia sabuni ya kuoshea vyombo kuongea?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti!

Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja:
1. Kuoshea vyombo vya kupikia
2. Kuoshea vyombo vya chakula
3. Kuoshea vyombo vya kunywea maji
4. Kunawia mikono kabla na baada ya kula
5. Kuogea.

Kwa sababu sabuni iyo hiyo inatumika kwa matumizi yote hayo, kuoshea vyombo vya chakula na kuogea, ni kawaida kuikuta ikiwa na tunywele, hivyo muosha vyombo asipokuwa makini, unaweza kukutana na tunywele tudogo kwenye vyombo vya chakula.

Hilo limekuwa likinipa ukakasi.

Wengine mnalionaje? Ni kawaida au ni tabia ya uchafu?
 
Umasikini ndo shida tu, vijijini kwetu kipande cha sabuni ni mult purpose, huwezi kuleta hayo yakutenganisha
 
Inaweza kuwa siyo sahihi, ila kwenye kaya maskini, neno usafi na uchafu ni vigumu kuvitenganisha, bora siku iende.

Mwenye, kujiweza anajikuta tu amenunua sabuni ya kuogea yenye manukato, hivyo hata ukiipeleka kaya maskini hawezi kioshea vyombo sababu ya harufu yake.

Kwa anaejiweza vyombo huoshea na sabuni maalumu ya maji, hivyo hata ukiipeleka kaya maskini hawezi kuogea.
 
Inategemea ni sabuni gani! Kama ni hizi za miche kwa maisha magumu zinafaa na hakuna namna! Labda kama inatumika chooni!
 
Shida nini? Kama wadudu hawafi basi hakuna ulazima wa kutumia sabuni
Siyo kila sabuni unajua wadudu!

Ukishea sabuni ya kuogea na mtu mwenye magonjwa ya ngozi anaweza kukuambukiza. Kama hali iko hivyo kwa sabuni za kuogea, huoni kuwa ni hatari zaidi kwa sabuni iliyotumika kuogea kutumika kuoshea vyombo vya chakula?
 
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti!

Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja:
1. Kuoshea vyombo vya kupikia
2. Kuoshea vyombo vya chakula
3. Kuoshea vyombo vya kunywea maji
4. Kunawia mikono kabla na baada ya kula
5. Kuogea.

Kwa sababu sabuni iyo hiyo inatumika kwa matumizi yote hayo, kuoshea vyombo vya chakula na kuogea, ni kawaida kuikuta ikiwa na tunywele, hivyo muosha vyombo asipokuwa makini, unaweza kukutana na tunywele tudogo kwenye vyombo vya chakula.

Hilo limekuwa likinipa ukakasi.

Wengine mnalionaje? Ni kawaida au ni tabia ya uchafu?
Kuongea?
Unatumiaje sabuni kuongea? Acha mizinguo ndugu yangu.
 
Siyo kila sabuni unajua wadudu!

Ukishea sabuni ya kuogea na mtu mwenye magonjwa ya ngozi anaweza kukuambukiza. Kama hali iko hivyo kwa sabuni za kuogea, huoni kuwa ni hatari zaidi kwa sabuni iliyotumika kuogea kutumika kuoshea vyombo vya chakula?
Sasa unatumiaje sabuni ya hivyo? Sabuni chanzo Cha kuenea magonjwa? Uliona wapi? Na bado unaitumia? Kwetu sabuni moja kwa familia nzima
 
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti!

Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja:
1. Kuoshea vyombo vya kupikia
2. Kuoshea vyombo vya chakula
3. Kuoshea vyombo vya kunywea maji
4. Kunawia mikono kabla na baada ya kula
5. Kuogea.

Kwa sababu sabuni iyo hiyo inatumika kwa matumizi yote hayo, kuoshea vyombo vya chakula na kuogea, ni kawaida kuikuta ikiwa na tunywele, hivyo muosha vyombo asipokuwa makini, unaweza kukutana na tunywele tudogo kwenye vyombo vya chakula.

Hilo limekuwa likinipa ukakasi.

Wengine mnalionaje? Ni kawaida au ni tabia ya uchafu?
Umasikini hauna uchaguzi wala kutenganisha.
 
Nimelishuhidia zaidi ya mara moja katika sehemu tofauti!

Kipande kimoja cha sabuni kinatumika kwa matumizi zaidi ya moja:
1. Kuoshea vyombo vya kupikia
2. Kuoshea vyombo vya chakula
3. Kuoshea vyombo vya kunywea maji
4. Kunawia mikono kabla na baada ya kula
5. Kuogea.

Kwa sababu sabuni iyo hiyo inatumika kwa matumizi yote hayo, kuoshea vyombo vya chakula na kuogea, ni kawaida kuikuta ikiwa na tunywele, hivyo muosha vyombo asipokuwa makini, unaweza kukutana na tunywele tudogo kwenye vyombo vya chakula.

Hilo limekuwa likinipa ukakasi.

Wengine mnalionaje? Ni kawaida au ni tabia ya uchafu?
Kitu hatari hapo siyo sabuni, tuilaumu mikono inayoosha mwili na inaosha vyombo
 
Back
Top Bottom