Ni sahihi kutumia ugaidi wakati unapopigania "uhuru?"

Ni sahihi kutumia ugaidi wakati unapopigania "uhuru?"

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Upo vitani. Unapigania "uhuru" au "Haki" yako. Adui unayepambana naye ni mwenye nguvu sana. Ukisema upambane naye hummudu. Ni sahihi kutumia ugaidi kupambana naye. Hapa ugaidi namaanisha kupiga watu na vitu vyake visivyo vya kijeshi? All is fair in war?
 
Upo vitani. Unapigania "uhuru" au "Haki" yako. Adui unayepambana naye ni mwenye nguvu sana. Ukisema upambane naye hummudu. Ni sahihi kutumia ugaidi kupambana naye. Hapa ugaidi namaanisha kupiga watu na vitu vyake visivyo vya kijeshi? All is fair in war?
Mkuu, ungeweza kutofautisha mapambano ya Gaidu na mapambano ya Uhuru/Haki.... nafikiri usinge jiukiza maswali haya.
 
Upo vitani. Unapigania "uhuru" au "Haki" yako. Adui unayepambana naye ni mwenye nguvu sana. Ukisema upambane naye hummudu. Ni sahihi kutumia ugaidi kupambana naye. Hapa ugaidi namaanisha kupiga watu na vitu vyake visivyo vya kijeshi? All is fair in war?
Ulitaka Hamas wafanye Nini Oct 7?
 
Wao wanasema eti mtu anayetafuta uhuru hachagui njia gani atumie ili kuupata.

Ila wanasahau kwamba usipoichagua njia yako kwa usahihi, uwezekano mkubwa ni kwamba njia yoyote uipitayo inaweza kukufikisha POPOTE, hata kule usikopapenda, utakakopajutia milele.

Wale wanaofikia uamuzi huo, mara nyingi wanakuwa wamekata shauri la Liwalo na liwe, tutajua hukohuko mbele ya safari.

In all our struggles, let's never ever forgot that the end does NOT justify the means.
 
Back
Top Bottom