Ni sahihi kuvaa kandambili au kobazi kwenye public?

Ni sahihi kuvaa kandambili au kobazi kwenye public?

Huu ni ujinga, kupangiana namna ya kuishi. siku moja nimevaa kandambili nikashuka kula sehemu flani wote wananiona kama nimedata.

nikaona hawa ushamba mwingi.kupangiana namna ya kuishi
 
Msije mjini kaeni huko huko banana kitunda
Punguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekulia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.

Haya tueleze hivyo viatu vinavyokutia jeuri umenunua soko gani? Mchikichini? Karume? Kariakoo shimoni, Tandika jirani na kituo cha polisi kulipokuwa na stendi ya magari ya Buza.
 
Kwanini watu wanazurura wamevaa kandambili?! Mjini katikati mtu kavaa kandambili!

Unakuta miguu ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyofunika miguu yao?!

Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!

Kinadada wana vijikandambili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au umasikini au kutokuelewa?!
ukikutana na mzungu kazivaa na hili joto ni fashion ni poa ni sawa sawa na kitu cha kawaida ila akivaa mswahili mwenzako inakua tabu
 
Punguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekalia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.

Haya tueleze hivyo viatu vinavyokutia jeuri umenunua soko gani? Mchikichini? Karume? Kariakoo shimoni, Tandika jirani na kituo cha polisi kulipokuwa na stendi ya magari ya Buza.
Hahaha unafanana na James Delicious inawezekana kweli.
 
Punguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekalia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.

Haya tueleze hivyo viatu vinavyokutia jeuri umenunua soko gani? Mchikichini? Karume? Kariakoo shimoni, Tandika jirani na kituo cha polisi kulipokuwa na stendi ya magari ya Buza.
Kama huko ndiko unanunua vaa sasa
 
Kwanini watu wanazurura wamevaa kandambili?! Mjini katikati mtu kavaa kandambili!

Unakuta miguu ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyofunika miguu yao?!

Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!

Kinadada wana vijikandambili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au umasikini au kutokuelewa?!


Wengine tuna fungus baba... Tukivaa viatu miguu inawasha sana aisee....
 
Hahaha kwani bei ya kandambili ina halalisha uchafu?! Hata zingeuzwa laki sioni usahihi wa hili. Joto gani hilo kuna watu nitabia zao tu. Kwani ukivaa kandambili joto linaisha?! Utetezi huu siukubali
Labda mwenzetu ungeweka na picha tukuelewe maana unafarakana na nafsi bila sababu
Screenshot_20190122-221233.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini unalazimisha kila mtu afanane na wewew.? Mbona hata wewe una vitu ambavyo havikubaliki kwa wengi?
 
Back
Top Bottom