Wewe muda wote umevaa mibuti sindivyo.Msije mjini kaeni huko huko banana kitunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe muda wote umevaa mibuti sindivyo.Msije mjini kaeni huko huko banana kitunda
Punguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekulia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.Msije mjini kaeni huko huko banana kitunda
ukikutana na mzungu kazivaa na hili joto ni fashion ni poa ni sawa sawa na kitu cha kawaida ila akivaa mswahili mwenzako inakua tabuKwanini watu wanazurura wamevaa kandambili?! Mjini katikati mtu kavaa kandambili!
Unakuta miguu ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyofunika miguu yao?!
Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!
Kinadada wana vijikandambili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au umasikini au kutokuelewa?!
Mzungu gani anavaa niliyekutana naye mimi nikaona poa?! Msiige kila kitu.ukikutana na mzungu kazivaa na hili joto ni fashion ni poa ni sawa sawa na kitu cha kawaida ila akivaa mswahili mwenzako inakua tabu
Hahaha unafanana na James Delicious inawezekana kweli.Punguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekalia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.
Haya tueleze hivyo viatu vinavyokutia jeuri umenunua soko gani? Mchikichini? Karume? Kariakoo shimoni, Tandika jirani na kituo cha polisi kulipokuwa na stendi ya magari ya Buza.
Kama huko ndiko unanunua vaa sasaPunguza ufala pia, huko mjini ndiyo wengine tumekalia. Kama umehamia ukapaona ni dili hadi ujitangaze hapa unavaa viatu huko juu, tunakuona kituko fulani hivi.
Haya tueleze hivyo viatu vinavyokutia jeuri umenunua soko gani? Mchikichini? Karume? Kariakoo shimoni, Tandika jirani na kituo cha polisi kulipokuwa na stendi ya magari ya Buza.
Pointless IdiotHahaha unafanana na James Delicious inawezekana kweli.
Wewe wa kuja, mjini umetukuta tumekaa tangu watoto hadi tumekua watu wazima. Hebu punguza ushamba, kiatu cha wazi kinavaliwa kokoteKama huko ndiko unanunua vaa sasa
Kwanini watu wanazurura wamevaa kandambili?! Mjini katikati mtu kavaa kandambili!
Unakuta miguu ina vumbi kupitiliza. Kwanini watu hawa wasivae viatu vinavyofunika miguu yao?!
Hizi kandambili za kuvaa huko bafuni kwenye mabafu yetu lakini kuna watu wamefanya ni kama viatu rasmi. Unakuta mtu kucha hadi zimefanana na ardhi, kwanini hawapendi kuvaa viatu?!
Kinadada wana vijikandambili wao huita simple,! Hata sielewi huu ni utamaduni au umasikini au kutokuelewa?!
Labda mwenzetu ungeweka na picha tukuelewe maana unafarakana na nafsi bila sababuHahaha kwani bei ya kandambili ina halalisha uchafu?! Hata zingeuzwa laki sioni usahihi wa hili. Joto gani hilo kuna watu nitabia zao tu. Kwani ukivaa kandambili joto linaisha?! Utetezi huu siukubali