Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmuNafikiri ya kiwandani hasa Tanga Fresh machachu sana.
Lakini mimi nikigandisha mwenyewe huwa siweki sukari ni matamu sana.
Yako ndio maziwa halisi ya Ng'ombe .Nafikiri ya kiwandani hasa Tanga Fresh machachu sana.
Lakini mimi nikigandisha mwenyewe huwa siweki sukari ni matamu sana.
Yea huwa yanatoka kwa mfugaji.Yako ndio maziwa halisi ya Ng'ombe .
Mambo poa kabisa.Amu
Mambo?
Kwani Tanga Fresh sio maziwa halisi?Yako ndio maziwa halisi ya Ng'ombe .
One day nitakuomba unigandishie lita tanoYea huwa yanatoka kwa mfugaji.
Nikiwa nataka mtindi nagandisha.
Mazito matamu hayahitaji sukari.
Saaa nikitengenezea watoto smoothie full kujilamba.[emoji39]
Wahuni waleee kasome ingredients zake.Kwani Tanga Fresh sio maziwa halisi?
Maana ndio ninayotumia [emoji848][emoji848]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
GuudMambo poa kabisa.
Duuh [emoji2296]Wahuni waleee kasome ingredients zake.
Amu mamboNafikiri ya kiwandani hasa Tanga Fresh machachu sana.
Lakini mimi nikigandisha mwenyewe huwa siweki sukari ni matamu sana.
Poa mbabaAmu mambo
Cheers [emoji1635]Guud
Maharage bila sukari bora niyaache.Bora wewe kuna wadau washakua addicted na sukari mpaka kwenye maharage wanaweka
Nimekuja fasta nilifikiri wanazungumzia kuweka sukari kwenye mitindi yenu tuweze kuflow na deki....Poa mbaba
[emoji8][emoji8]Cheers [emoji1635]