Ni sahihi kwa mtoto wa miezi mitatu (3) kua na uzito wa kilo saba? (7)....

Ni sahihi kwa mtoto wa miezi mitatu (3) kua na uzito wa kilo saba? (7)....

kbosho

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2012
Posts
13,034
Reaction score
6,571
Wakuu naombeni ushauri, ni sahihi kwa mtoto wa kike wa miezi mitatu kua na uzito wa kilo 7? ......
 
Wakuu naombeni ushauri, ni sahihi kwa mtoto wa kike wa miezi mitatu kua na uzito wa kilo 7? ......

Kwa umri huo wa miezi mitatu mtoto anategemewa kuwa na uzito kati kilo 5 mpaka kilo 7.9. Hata hivyo kuna utofauti ambao hutokea kulingana na jinsia, uzito wa kuzaliwa na kasi ya ukuaji wa mtoto.

Ni muhimu ukampeleka kwa daktari ili apimwe huo uzito na kuweza kulinganishwa na urefu wake, umri wake na jinsia yake ili kuona kama vinaendana kwa uwiano unaotakiwa.

Kila la kheri.
 
Kwa umri huo wa miezi mitatu mtoto anategemewa kuwa na uzito kati kilo 5 mpaka kilo 7.9. Hata hivyo kuna utofauti ambao hutokea kulingana na jinsia, uzito wa kuzaliwa na kasi ya ukuaji wa mtoto.

Ni muhimu ukampeleka kwa daktari ili apimwe huo uzito na kuweza kulinganishwa na urefu wake, umri wake na jinsia yake ili kuona kama vinaendana kwa uwiano unaotakiwa.

Kila la kheri.
Asante sana kwa Ushauri.
 
Back
Top Bottom