Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

Hujui ndugu wala rafiki zake, unaweza kuwajua ukitaka
Hujui anapoishi, hili nalo ni la kujua ukiamua
Anahitaji ndoa, hili nalo ni tatizo??

Kimsingi sababu zako sio za msingi. Wewe sema ulimchoka tu dada wa watu baada ya kula mbususu week tatu mfululizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
U
Habari zenu ndugu zangu.

Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuondoka.

Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi. Nilijitafakari nikaona nitake risk kwa sababu zifuatazo.
Simjui ndugu au rafiki yake yoyote.
  • Sijui anapoishi.
  • Ni mjasiriamali hana address.
  • Anaonekana kwa vyovyote vile anataka ndoa.
Nimefanya vibaya ndugu zangu

Usingetakiwa kumlaza kwako hata siku moja,

Fungeni ndoa kwanza
 
na sii ndio mnavyoliwaga kiutan utan. maana mnasemaga oh james is so funny, he makes me laugh. mwishowe mpaka mbususu nayo inacheka [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji38][emoji38] unacheka mdomo, siyo mbususu aisee... Usipocheka hapa jf uchekee wapi ss?
 
Habari zenu ndugu zangu.

Leo jioni nimemwambia mpenzi wangu arudi kwake baada ya kukaa kwangu karibia week tatu pasipo kuonyesha dalili za kuondoka.

Amekubali kuondoka ila kwa hasira na lawama nyingi. Nilijitafakari nikaona nitake risk kwa sababu zifuatazo.
Simjui ndugu au rafiki yake yoyote.
  • Sijui anapoishi.
  • Ni mjasiriamali hana address.
  • Anaonekana kwa vyovyote vile anataka ndoa.
Nimefanya vibaya ndugu zangu?
Haya ndio madhara ya kuwa na mtu kwa kuendeshwa na matamanio ya ngono badala ya upendo
 
Back
Top Bottom