Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 113
hivi katika maisha ya sasa ambapo unakuta mwanaume ameoa mke mwenye kipato eg. mhasibu, mhandisi, au ambaye ana shughuli zake binafsi za kumwingizia pesa ya kutosha kwa wao kama mke na mume kushare majukumu ya kuendesha familia mfano watu siku hizi wanashare ujenzi,rent,bill za nyumbani,ada za watoto et.., je ni sahihi kwa manaumwe kumpa mkewe pesa za matumizi yake binafsi? pesa kwa ajili ya mke kununua mavazi,kwenda saluni nk nk! au hii kwa sasa dhana iliyopitwa na wakati na ya kiutamaduni zaidi?? au kwa kuwa mke anauwezo wa kupata kipato haina sababu kwa mwanaume kumpa mkewe fedha za matumizi?
kwenu wadadavuzi naomba kuwasilisha!
kwenu wadadavuzi naomba kuwasilisha!