Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

Umri unavyoongozeka ndio unapata nguvu zaidi za kutunza familia.
Umri sahihi wa kuoa/kuolewa hakuna apangae ila watu wengi hufikiria kuoa/kuolewa na kupata watoto mapema ili waweze kuwalea wakiwa bado na nguvu! Sasa ukichelewa kuoa/kuolewa unaweza pata watoto ukiwa umeshajichokea! Raha ya watoto upate ukiwa ujanani!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliolewa miaka 50 ndoa ya kwanza?
Hakuna formula ya umri wa kuoa wala kuolewa dunia imebadilika sana kama bado unaishi Stone Age utaumia sana. Niko na rafiki yangu kaolewa na miaka 50 na harusi tulicheza niko na mwingine alizaa last born wake akiwa na miaka 50 sasa hivi binti yake ana miaka 12 na mama anadunda vizuri na binti ni karembo sana.
Nilikuwa na rafiki yangu yeye aliolewa na kuzaa before 30 na akafa na 38. Nilichojifunza kwenye haya maisha bila kumjua Mungu utaishi kwa shida na wasi wasi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+

Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?

Tabia? Mwonekano? Au nini??
Hapo uliposema mwenye nia umepotea sana.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+

Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?

Tabia? Mwonekano? Au nini??
Acha kuwapa stress wanawake na kutupa pressure sisi wanaume kuwaoa.
Watu kibao wapo na ndoa bila kwenda bomani, msikitini wala kanisani.
Ndoa ni illusion tu.
 
Kasinde ni kigagula cha miaka 50, hapo ujue sijaweka ile niliyoficha wakati naajiriwa ilinisistaafu haraka....

Hii mbinu tulipewa miaka ile tunaajiriwa utumishi wa umma.

Nashukuru kwa kutambua uwepo wangu, Kasie Kigagula Matata.
Mara moja moja mkipita muwe mnaniamkia basi, kuamkiwa kutamuu hasa ukiwa bibi usiye na wajukuu.. basi tuu nyie hamjui.
Duh, nyie mbona hamkutuambia sisi wakati tunaajiriwa, ila siku hizi wanataka cheti cha kuzaliwa wanalinganisha na transcript za Vyuo
 
mwaka juzi nilikuwa bunda mara, nikahudhuria harusi moja pale. walengwa: mwanamke alikuwa na umri wa miaka 45 na hakuwahi kuwa na mtoto na ni mara yake ya kwanza kuolewa
Bwana harusi amenunua gazeti usiku hahahaaaaaa.tusikariri maisha kila mtu amepangiwa riziki kwa namna yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom