Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hali ya kujitunza pasi na kushiriki tendo la ndoa kwa mwanaume inaitwaje?Maumbile,
Kuna maumbile ya kike na maumbile ya kiume. Bikra ni sehemu ya maumbile ya kike.
Hali ya kujitunza pasi na kushiriki tendo la ndoa kwa mwanaume inaitwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikutwa bikra?Dada yangu kaolewa ana miaka 32 hakuna shinda naitwa mjomba soon.
a wapi!! kuna kitu gani ambacho asiyeoa hakipati katika ubachelaUkitaka kuona madhara ya kuchelewa kuingia kwenye ndoa,jicheleweshe,humu tunajifariji na kijidanganya
Umri sahihi wa kuoa/kuolewa hakuna apangae ila watu wengi hufikiria kuoa/kuolewa na kupata watoto mapema ili waweze kuwalea wakiwa bado na nguvu! Sasa ukichelewa kuoa/kuolewa unaweza pata watoto ukiwa umeshajichokea! Raha ya watoto upate ukiwa ujanani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sio mzungu na uelewe kwamba kila jamii ina tamaduni zake
Hakuna formula ya umri wa kuoa wala kuolewa dunia imebadilika sana kama bado unaishi Stone Age utaumia sana. Niko na rafiki yangu kaolewa na miaka 50 na harusi tulicheza niko na mwingine alizaa last born wake akiwa na miaka 50 sasa hivi binti yake ana miaka 12 na mama anadunda vizuri na binti ni karembo sana.
Nilikuwa na rafiki yangu yeye aliolewa na kuzaa before 30 na akafa na 38. Nilichojifunza kwenye haya maisha bila kumjua Mungu utaishi kwa shida na wasi wasi sana.
Nataka nikuchumbie mkuuWewe nawe usitupe stress,corona itupe stress,na umri wa kuolewa nao,,usituchoshe.wakati wa Mungu ndo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo uliposema mwenye nia umepotea sana.Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Acha kuwapa stress wanawake na kutupa pressure sisi wanaume kuwaoa.Mara nyingi mwanamke uolewa akiwa na 23 mpaka 27 ni mara chache sana kukuta mwanamke mwenye nia ya kuolewa akiwa na 30+
Kinachopelekea wanawake kuchelewa kuolewa ni nini?
Tabia? Mwonekano? Au nini??
Heshima yako MkuuHakika munyu ni dawa ya mboga, ikikosekana kwenye pishi haliliki kwa utulivu na kukosa utamu.
Duh, nyie mbona hamkutuambia sisi wakati tunaajiriwa, ila siku hizi wanataka cheti cha kuzaliwa wanalinganisha na transcript za VyuoKasinde ni kigagula cha miaka 50, hapo ujue sijaweka ile niliyoficha wakati naajiriwa ilinisistaafu haraka....
Hii mbinu tulipewa miaka ile tunaajiriwa utumishi wa umma.
Nashukuru kwa kutambua uwepo wangu, Kasie Kigagula Matata.
Mara moja moja mkipita muwe mnaniamkia basi, kuamkiwa kutamuu hasa ukiwa bibi usiye na wajukuu.. basi tuu nyie hamjui.
Bwana harusi amenunua gazeti usiku hahahaaaaaa.tusikariri maisha kila mtu amepangiwa riziki kwa namna yake.mwaka juzi nilikuwa bunda mara, nikahudhuria harusi moja pale. walengwa: mwanamke alikuwa na umri wa miaka 45 na hakuwahi kuwa na mtoto na ni mara yake ya kwanza kuolewa