Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Inakuwa kikaocha familia.
Ndo maana kama Baba alikuwa na mtoto wa nje alijitokeza kipindi cha msiba na familia wakampokea kama mtoto wa marehemu hata kama walikuwa hawajui naye anaingizwa kwenye mgao.
Ni familia inaamua hivyo na sio nyie.
Ndo maana kama Baba alikuwa na mtoto wa nje alijitokeza kipindi cha msiba na familia wakampokea kama mtoto wa marehemu hata kama walikuwa hawajui naye anaingizwa kwenye mgao.
Ni familia inaamua hivyo na sio nyie.