Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Muhindi mtu mbaya sana. Afadhali ya Mchina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sidhani kwamba yanahifadiwa pale yalipo. Nyuma ya hayo ma-kombe kuna runinga, kwa hiyo haiwezekani watu washindwe kuangalia runinga sababu ya hayo makombe. Kimsingi, makombe hutunzwa katika makabati maalum!
Ila runinga ya boss nayo imetisha,ni serie 3 hii kama sikosei[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie sidhani kwamba yanahifadiwa pale yalipo. Nyuma ya hayo ma-kombe kuna runinga, kwa hiyo haiwezekani watu washindwe kuangalia runinga sababu ya hayo makombe. Kimsingi, makombe hutunzwa katika makabati maalum!
Una fahamu ofisi ya simba ilipo? Je una jua huo mkutano ulifanyika wapi?Safari yetu latika mpira ni ndefu mno kulikua na ulazima gani kufanyia mkutano ofisi binafsi na sio klabuni
Labda ofisi haikidhi viwango anavyotaka hostSafari yetu latika mpira ni ndefu mno kulikua na ulazima gani kufanyia mkutano ofisi binafsi na sio klabuni
Unafahamu ofisi za simba zilipo?!! Kuna vitu vinaitaji akili kidogo tu Kung'amua wala si vya kufungulia uzi hapa jf.inaonyesha watz wengi wana uwezo mdogo wa akili,ukiwemo wewe mleta uzi.Safari yetu latika mpira ni ndefu mno kulikua na ulazima gani kufanyia mkutano ofisi binafsi na sio klabuni
Indians are like lions, they rule everywhere they goMuhindi mtu mbaya sana. Afadhali ya Mchina.
Jengo la Klabu limetelekezwa na kubaki makazi ya popo, mbu, na panya!Safari yetu latika mpira ni ndefu mno kulikua na ulazima gani kufanyia mkutano ofisi binafsi na sio klabuni
Wanadai Nigga Ni nyani aliyechangamkaMuhindi mtu mbaya sana. Afadhali ya Mchina.