Ni sahihi ofisi binafsi ya Mo kuhifadhi makombe yaliotwaliwa na simba kwenye ofisi yake binfasi?

Ni sahihi ofisi binafsi ya Mo kuhifadhi makombe yaliotwaliwa na simba kwenye ofisi yake binfasi?

Wakiyaweka ghetto kwako ,utawalipa mishahara Chama na Lwanga wewe?
 
Jengo la Klabu limetelekezwa na kubaki makazi ya popo, mbu, na panya!
Inawezekana keshainunua Simba kwa mlango wa nyuma....fikiria uwanja wa akina Kaduguda kule Bunju unaitwa Mo Arena, na timu ya wasichana inasimamiwa na nani vile?
Na Mimi ni KAPONGO mugwata, hebu tujijadili inbobo
 
Mo ndio mungu wa Mikia FC

Yaani lazima wamnyenyekee hata akiweka makombe chooni kwake hawana la kufanya wala kusema

Mikia ni mikia tu masikini
 
Back
Top Bottom