[emoji23][emoji23]Kilichobaki ni kumroga tu
Pia hawawezi kama wanabisha waweke nkonoKilichobaki ni kumroga tu
Uyo atakuwa anawafunga wasiomjua aina yake ya uchezaji but ajaribu kufanya ivyo kwa wanaomjua ataishia kujiangusha tu kutafuta faulo au penaltKwa kiwango hiki huyu Wakili Msomi alichoonyesha dhidi ya Red arrows huwezi kuwalaumu Yanga kwa kuendelea kumlilia na Kumkumbuka Benard Morrison, Wakili Msomi..
Hakika Yanga Nendeni Fifa Tena mkakate Rufaa