Ni sahihi Yanga kumlilia Morrison

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Kwa kiwango hiki huyu Wakili Msomi alichoonyesha dhidi ya Red arrows huwezi kuwalaumu Yanga kwa kuendelea kumlilia na Kumkumbuka Benard Morrison, Wakili Msomi..


Hakika Yanga Nendeni Fifa Tena mkakate Rufaa
 
Mtu mwenyewe maji kupwa maji kujaa! Anapatia mechi moja anaharibu 10[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!
 
Kwa kiwango hiki huyu Wakili Msomi alichoonyesha dhidi ya Red arrows huwezi kuwalaumu Yanga kwa kuendelea kumlilia na Kumkumbuka Benard Morrison, Wakili Msomi..


Hakika Yanga Nendeni Fifa Tena mkakate Rufaa
Uyo atakuwa anawafunga wasiomjua aina yake ya uchezaji but ajaribu kufanya ivyo kwa wanaomjua ataishia kujiangusha tu kutafuta faulo au penalt
 
Kwani kile kibusha hakikuwa cha kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…