kujiuza ni shda tupu wenyewe hawapendi uchumi ndo unawabana
Nooo kuna mibadala mingi tu kukabiliana na ugumu wa maisha ila ukishindwa kufikiri vyema na kukurupuka ndio utachukua uamuzi huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kujiuza ni shda tupu wenyewe hawapendi uchumi ndo unawabana
kwa wasomi ni aibu tupu!
Na wasio wasomi sio aibu kujiuza?
jibu ulichoelezwa ww! amesema kwa wanachuo hilo la wasio soma limetoka wapi?
Acheni uvivu wa kufikiri! Hili nalo utaliita swali? Tendeeni elimu zenu haki.
hivi wewe Chikwa, ELIMU ZENU ndo kiswahili cha huko kwenu au cha watanzania wajao kesho? lo!