kujiuza ni shda tupu wenyewe hawapendi uchumi ndo unawabana
kwa wasomi ni aibu tupu!
Na wasio wasomi sio aibu kujiuza?
jibu ulichoelezwa ww! amesema kwa wanachuo hilo la wasio soma limetoka wapi?
Acheni uvivu wa kufikiri! Hili nalo utaliita swali? Tendeeni elimu zenu haki.
hivi wewe Chikwa, ELIMU ZENU ndo kiswahili cha huko kwenu au cha watanzania wajao kesho? lo!