Demu wa punk majaniii
Una ka picha kake mkuu kwa faida ya wengne tusiomjua.Anaitwa Munira Hussein,Mwanafunzi wa Mwalimu Busyanya kwa sie tuliosoma shule ya Forodhani
[emoji23] [emoji23]Khaaaa
Sauti ya kajala masanja enzi hizo akiwa kimada wa p funk
Yule ni kajala masanja alikuwa mkenwa p.Funk kipindi hicho jina la kisanii alikuwaga najita Muny
Ni wasitara mkuu
Umepatia,mkuuAnaitwa Munira Hussein,Mwanafunzi wa Mwalimu Busyanya kwa sie tuliosoma shule ya Forodhani
Mule muleDemu wa punk majaniii
Hatari sana.....oh no keep change, una mawazo mengi itakufariji weekend......!
Aisee dem mzuri bhana
Na ana miaka 22, ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiriAnaitwa Vicky