Mkuu Hujui maana ya gear? Unapoambiwa ni auto haimaanishi basi haina gears....Zipo 1-5 Na huwa haishtuki mara zote ila kuna muda nadhani speed ikiwa kubwa ghafla basi gear hubadilika haraka haraka ndiyo maana muda huo kuna kimshtuko unachokisikia..Narudia kuwa huwa haishtuki mara zote ila pale speed inapopanda kwa kasiWajuzvi tafadhali..
Gari yangu napokandamiza mafuta kuna mishitulo huwa siielewi ambayo huwa naisikia
Anajua auto basi ni kama umemeKama ushaendesha manual ,
ATA auto nazo huwa unazckia pale unapokanyaga mafuta na Gia zna change
Basi hapa sawa..nmekupata...mana nikiwa mdogo mdogo huwa sisikii but nikiwa nataka move fast sometimes huwa nasikia...Mkuu Hujui maana ya gear? Unapoambiwa ni auto haimaanishi basi haina gears....Zipo 1-5 Na huwa haishtuki mara zote ila kuna muda nadhani speed ikiwa kubwa ghafla basi gear hubadilika haraka haraka ndiyo maana muda huo kuna kimshtuko unachokisikia..Narudia kuwa huwa haishtuki mara zote ila pale speed inapopanda kwa kasi
haitakiwi kufany hivyo mkuu jarbu kuchki ata hydrolic ya gear box uwa ikichoka ndo inaletaga shda kama hzoSo haipaswi kufanya hvyo
mcheki fundi akaicheki gearbox hyo mkuuHydrolic nmebadili muda si mrefu..Gari haijatembea ata km 300 hazijafika
Nenda garage kubwa, Ukienda kwa hawa gonga nyundo gari itakufa kabisaMzee gar ikianza kuchokonolewa gear box si ndo kiama chake..
Aidha transmission oil imepungua sana au shaft inayobeba meno imepunguaWajuzvi tafadhali..
Gari yangu napokandamiza mafuta kuna mishitulo huwa siielewi ambayo huwa naisikia
Nashukuru mkuu..nmejaribu kuondoka kwa mafuta taratbu haishtuki..nikiwa nakanyaga mafuta haraka haraka ndiyo hyo ishu naiona...kk kuna mmoja kaongea vzur, huwa inatokea ila ktk speed flan,
hata yang huwa inafanya hvyo, sio moja nime expirience kitu hiko,
usithubutu kupeleka kwa fund hyo gear box eti wakarekebishe hiyo kitu,
watatia ubovu.
fanya service kwa wakat,
ukiendesha endesha kwa speed ila kwa utaratibu ili gear zijipange vzur