ABDUL KIBAZO
Member
- Aug 25, 2011
- 6
- 1
Kwenda haja ndogo mara kwa mara na kuamka ilhali uume umesinyaa kuna dawa msaada wenu jamani niokoe raia huku uswahilini ninapoishi................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna nguvu za kiume,kukojoa kojoa kwako kunadhihirisha zaidi
Kabla ya yote kapime suKari kama utaonekana salama na hauna matatizo mengine ya afya hiyo ni dalili mbaya anza kufanya mazoezi haraka.Kwenda haja ndogo mara kwa mara na kuamka ilhali uume umesinyaa kuna dawa msaada wenu jamani niokoe raia huku uswahilini ninapoishi................
eeeh ulishawai kuwa na hiyo dalili?Kisukari hicho.
kusinyaa au kuwa erect inategemea vigezo vingi...Duh! Kumbe mkiamka asbh ni balaa downstairs kwenu!
<br /><br /><font size="3"><font color="#0000cd"><i><span style="font-family: book antiqua"> kusinyaa au kuwa erect inategemea vigezo vingi...<br /><br />
umri,afya,chakula,hali ya hewa,ndoto,mkojo etc...ila kukojoakojoa ucku cheki sukari</span></i></font></font>