Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,628
- 1,285
Wanajf tujadili hili.
Kwa upande wangu mimi naona wanawake wanakuwaga sensitive sana na pesa so akijua kiasi cha mshahara wako atakuwa anafuatilia kila senti inapokwenda hata ukikutana na rafiki zako mkachoma nyama basi lazima ahoji hizo hela zimeenda wapi. So hatakiwi kujua.
Kwa upande wangu mimi naona wanawake wanakuwaga sensitive sana na pesa so akijua kiasi cha mshahara wako atakuwa anafuatilia kila senti inapokwenda hata ukikutana na rafiki zako mkachoma nyama basi lazima ahoji hizo hela zimeenda wapi. So hatakiwi kujua.