holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,793
- 9,101
Wasalaam wana chit chat
hebu twende kwenye mada yenyewe je ni sehem gani ambayo ukiwa hua hupendi upuuzi a.k.a majaribu.
Mm binafsi ni chooni.siku moja nikiwa chooni nikasikia mlango ukigongwa nikaguna mmmmmmmmh..!! Mtu akauliza kuna mtu? nikajibu hakuna mtu unaongea na kinyesi..
Hebu twambie ukiwa sehem gan na ww hua hupend majaribu ya kijinga jinga.
hebu twende kwenye mada yenyewe je ni sehem gani ambayo ukiwa hua hupendi upuuzi a.k.a majaribu.
Mm binafsi ni chooni.siku moja nikiwa chooni nikasikia mlango ukigongwa nikaguna mmmmmmmmh..!! Mtu akauliza kuna mtu? nikajibu hakuna mtu unaongea na kinyesi..
Hebu twambie ukiwa sehem gan na ww hua hupend majaribu ya kijinga jinga.