Ni sehem gani ambazo ukiwa huwa hupendi majaribu?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Wasalaam wana chit chat
hebu twende kwenye mada yenyewe je ni sehem gani ambayo ukiwa hua hupendi upuuzi a.k.a majaribu.
Mm binafsi ni chooni.siku moja nikiwa chooni nikasikia mlango ukigongwa nikaguna mmmmmmmmh..!! Mtu akauliza kuna mtu? nikajibu hakuna mtu unaongea na kinyesi..
Hebu twambie ukiwa sehem gan na ww hua hupend majaribu ya kijinga jinga.
 
Nikiwa na dame, siku moja nimeenda hostel ya wadada nikaita dame mmoja nikawa nawet kiss ghafla mlinzi akatokea na tochi nikamwambia TAFADHARI MLINZI SIPENDI MAJARIBU...
alikukatisha stimu eeh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…