The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,450
- 921
Ngara....hadi nimehamia kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Mnenia na haubi pakame sana vumbi linatimka sana kipindi kama hichi cha kiangaziWewe bado hujatembea Tanzania umetaja sehemu ambazo ni ukanda mmoja tu ambako naamini 98% ya wanajamvi tunakujua.
Kwa taarifa yako Kondoa hamna sehemu nzuri kama Haubi kisha Mnenia!
Kule pakawaida sana kote bumbuta,bambare,potea,pahi,kiteo,kiseseNimesikia sifa nyingi za haubi, natamani sana kufika huko, mnenia nimefika pia ni pazuri kwa wastani.
Leta uzoefu wako katika vijiji ulivyowahi kufika na kukakuvutia.
Ni story ndefu way back 1992 nitakuja kuiweka nikipata muda na kibaliOngea lolote tupate kitu alwatan Jr. [emoji4]
Hakuna ubishi katika hilo, sijawahi kufika lakini sifa zake nmezisikia sana huko Lushoto natamani nifike siku moja.Vijiji vyote vya lushoto viko hot...bumbuli,mtae,yoghoi.ule mji tungekuwa na viongozi sio wabinafsi ungekaliwa na wageni tu na tungeingiza pesa nyingi kuendesha mambo yetu.
Kifupi jiografia yake inarusu vurugu zote za wazungu kufanyika kule milimani.
My home town [emoji1545]Vijiji vyote vya lushoto viko hot...bumbuli,mtae,yoghoi.ule mji tungekuwa na viongozi sio wabinafsi ungekaliwa na wageni tu na tungeingiza pesa nyingi kuendesha mambo yetu.
Kifupi jiografia yake inarusu vurugu zote za wazungu kufanyika kule milimani.
Kwa sifa nilizozisikia kuhusu Ngara, hebu nishikie kiwanja. Nakuja soon!Ngara....hadi nimehamia kabisa
Wewe bado hujatembea Tanzania umetaja sehemu ambazo ni ukanda mmoja tu ambako naamini 98% ya wanajamvi tunakujua.
Kwa taarifa yako Kondoa hamna sehemu nzuri kama Haubi kisha Mnenia!