Ni sehemu gani ndani ya Dar es Salaam panafaa kwa biashara ya vifaa vya simu?

Ni sehemu gani ndani ya Dar es Salaam panafaa kwa biashara ya vifaa vya simu?

Aziwero

Member
Joined
Jan 16, 2017
Posts
15
Reaction score
22
Habarini ndugu,

Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.

Naomba msaada wenu
 
Habarini ndugu,

Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.

Naomba msaada UBUNGO riverside,mbagala rangi 3, kijicho, kariakoo, gongo la mboto asante
 
Habarini ndugu,

Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.

Naomba msaada wenu
Makumbusho, Kijitonyama na Sinza...hizi ndizo sehemu HOT kwa biashara hapa Dar.
 
Habarini ndugu,

Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.

Naomba msaada wenu
Mbezi mwisho, mbezi Magufuli.
 
Habarini ndugu,

Hivi karibuni nimekua na uhitaji wa kufungua duka la simu na vifaa vyake ndani ya jiji la Dar lakini imekua changamoto kwangu kujua sehemu sahihi kwa ajili ya hiyo target market yangu ni watu wa kipato cha chini na cha kati.

Naomba msaada wenu
Tandale
 
Back
Top Bottom