Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Ndo panafaa kwako?Beach kwenye upepo wa bahari
Kwa wapenda kula zaidi😁Mgahawani
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Siku ya kwanza tu unakula😲?Sehem yoyote salama kwa kula tunda
Kama hamna akili je?Inategemea nyie wenyewe na akili zenu.
Kufanya nini?Kitandani ni sehemu muafaka kabisa.
semper fidelis
Vipi kuna mtu unataka ukakutane nae nini? Au baba pretty?! [emoji41][emoji41]Wakuu salam,
Naomba kufahamishwa ni sehemu gani sahihi kukutana na mpenzi wako kwa mara ya kwanza? Ambayo wote mtakuwa comfortable na kuji feel secure?
Je ni bar?, mgahawani?, nyumbani kwa mwanaume/mwanamke?, guest house?, barabarani?, uchochoroni?, hotel?, beach?, au bustanini?
Kwahiyo guest je?Kwa wapenda kula zaidi[emoji16]
Muhimu sana hiyo, usijembania mshikajSku ya kwanza tu unakula😲?