Ni sehemu gani sasa hapa Dar ni nzuri kufanya gym?

Ni sehemu gani sasa hapa Dar ni nzuri kufanya gym?

Hold on

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2023
Posts
482
Reaction score
1,126
Ni sehemu gani kwa Dar mimi ni mgeni hapa Dar nina mwezi mmoja tu ni sehemu gani sasa hapa Dar ni mzuri kufanya gym na bei cheap ila iwe classic isiwe uswahilini
 
Ingependeza kama ungeweka preference ya maeneo ambayo Itakua rahisi kwako kufika

Dar kubwa sana
 
Ni sehemu gani kwa dar mimi ni mgeni hapa dar nina mwezi mmoja tu ni sehemu gani sasa hapa dar ni mzuri kufanya gym na bei cheap ila iwe classic isiwe uswahilini
Nenda Mwenge ma gym ya kumwga nenda Nlima sity nenda oli kom pale makumbusho nendo coco bichi nenda upanga ila huko bei kubwa mwenge uwezo wake lakini ni sehemu nzuli washua wengi utawakuta huko
 
nenda mwenge ma gym ya kumwga nenda mlima sity nenda oli kom pale makumbusho nendo coco bichi nenda upanga ila huko bei kubwa mwenge uwezo wake lakini ni sehemu nzuli washua wengi utawakuta huko
Cost kuanzia shingapi
 
Unajuwa kwann kinondoni inaitwa mjini?

Jibu...miaka ya 50,60 hko mabasi yalikuwa yanaishia hapo
Watu wanashuka wanapiga mguu kwenda maporini sinza mwenge na sehemu zingine

Ova
Sas ndo iitwe mjini? Hiv walioifanya Dar kuwa jiji wakiskia hiv si tunajidhalilisha
 
nenda mwenge ma gym ya kumwga nenda mlima sity nenda oli kom pale makumbusho nendo coco bichi nenda upanga ila huko bei kubwa mwenge uwezo wake lakini ni sehemu nzuli washua wengi utawakuta huko
Mkuu mimi natafuta gym maeneo ya tabata kinyerezi inayotoa huduma ya boxing mkuu, sio vyuma peke yake msaada please kwa yoyote pia anayefahamu
 
Ni sehemu gani kwa dar mimi ni mgeni hapa dar nina mwezi mmoja tu ni sehemu gani sasa hapa dar ni mzuri kufanya gym na bei cheap ila iwe classic isiwe uswahilini
Classic na bei cheap haziendani.
Ukiwa huna pesa za kutosha huwezi kupata Gym classic utaishia za bei ya chini.
 
Back
Top Bottom